Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utawala unapotafutwa kwa mabavu

BADO nayakumbuka maneno mazito ya hayati Baba wa Taifa, Mwl Julius Kambarage Nyerere aliyoyatoa siku kadhaa kabla ya kuachia madaraka ya uongozi wa serikali na Chama Cha Mapinduzi.   Nayakumbuka kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Uchina haitatumia mabavu kwa wengine

Rais wa Uchina aahidi kuwa hata Uchina ikiwa na nguvu kubwa sana, haitazionea nchi nyengine, kwa sababu siyo tabia ya Uchina

 

10 years ago

Mwananchi

Lema, Nassari wadai watamtoa Muhongo bungeni kwa mabavu

Mbunge wa Arusha mjini (Chadema) Godbless Lema amesema atamtoa kwa mabavu bungeni Waziri wa nishati na madini,Profesa Sospetre Muhongo katika kikao kijacho cha Bunge endapo atakuwa hajaondolewa kwenye nafasi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ya mabavu inamtumikia nani?

UCHAGUZI mdogo wa madiwani uliofanyika Jumapili iliyopita katika kata 27 nchini umenifunulia kitu kimoja muhimu. Baada ya kuutafakari uchaguzi huo mara moja nimegundua kwamba kumbe Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Utawala wa JK kuacha makovu kwa wanahabari’

>Imedaiwa kuwa kipindi cha miaka kumi ya Rais wa Jakaya Kikwete kimekuwa kigumu kwa wanahabari nchini kwa kujeruhiwa na wengine kuuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utawala kurejeshwa kwa Raia Burkina Faso

Viongozi wa kisiasa, kijeshi na asasi za kiraia wakubaliana mfumo wa Serikali ya mpito nchini Burkina Faso

 

10 years ago

Mwananchi

‘Utawala mbovu ni matokeo ya kufutwa kwa Azimio la Arusha’

Mwanasiasa mkongwe nchini, Getrude Mongella amesema, kufutwa kwa Azimio la Arusha lililowabana viongozi na wananchi kufuata misingi ya mtawala na mtawaliwa ndiyo chanzo cha matatizo yanayolikumba taifa sasa.

 

9 years ago

Michuzi

Ushauri wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwa ZEC

Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akiongea na waandishi wa habari (hawako pichani) leo mchana makao makuu ya ofisi za Tume, mtaa wa Barack Obama jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ripoti: Rwanda inaongoza kwa utawala bora Afrika Mashariki

Rwanda inaongoza kwa utawala bora katika eneo la Afrika Mashariki, kwa mujibu wa ripoti mpya kuhusu utawala barani Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani