‘Utawala wa JK kuacha makovu kwa wanahabari’
>Imedaiwa kuwa kipindi cha miaka kumi ya Rais wa Jakaya Kikwete kimekuwa kigumu kwa wanahabari nchini kwa kujeruhiwa na wengine kuuawa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Utamaduni wa kujiweka makovu Afrika
Licha ya vitendo hivi kupungua lakini bado kuna watu wanaotaka kuendeleza kilichofanya na mababu zao.
11 years ago
BBCSwahili09 Apr
Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda
Imekuwa ni miaka 20 sasa tangu mauaji ya kimbari yasababishe vifo vya watu zaidi ya laki nane nchini Rwanda.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPnQCFfCZTvMReLlZx5WBZPHiLIEWpvHP*FbrEVznHs-szVouOwQwlA3S5hvdB-hk0JJ2YdYhiTuYRuMSwAsrbq/bui.jpg)
AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI
Stori: Imelda Mtema UREMBO! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui anahaha huku na kule kusaka dawa ya kuondoa makovu yaliyotokea katika baadhi ya maeneo ya mwili wake.Akizungumza na mwandishi wetu, Aisha alisema makovu hayo aliyapata hivi karibuni alipokuwa akicheza sinema iliyomtaka agalegale chini porini. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi. “Unajua filamu ni kitu ambacho kipo moyoni na nilitaka...
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Utawala unapotafutwa kwa mabavu
BADO nayakumbuka maneno mazito ya hayati Baba wa Taifa, Mwl Julius Kambarage Nyerere aliyoyatoa siku kadhaa kabla ya kuachia madaraka ya uongozi wa serikali na Chama Cha Mapinduzi. Nayakumbuka kwa...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Jenerali Sani Abacha: Dikteta aliyeacha makovu mengi Nigeria
Jenerali Sani Abacha alikuwa Rais wa 10 wa Nigeria kuanzia mwaka 1993-1998. Abacha aliyezaliwa Septemba 20, 1943, alifariki dunia katika mazingira ya kutatanisha yaliyoacha maswali mengi kuliko majibu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-P7mZ23AcE1c/VTcH4al_JXI/AAAAAAADjbQ/gaUu0vmb7Os/s72-c/wema-2.jpg)
WEMA SEPETU AWATOLEA UVIVU WANAOSEMA ANA MIGUU MIBAYA NA MAKOVU
![](http://2.bp.blogspot.com/-P7mZ23AcE1c/VTcH4al_JXI/AAAAAAADjbQ/gaUu0vmb7Os/s1600/wema-2.jpg)
Staa wa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao wameibuka kwa wingi mtandaoni wakiitoa karoso miguu ya staa huyo mara baada ya Wema kuweka picha kadhaa akiwa amevaa sketi amabayo inaonyesha miguu yake.“Naomba niwaulize nyinyi mnaojiona miungu watu.... Mlitaka nijiongeze nyama miguuni kwangu au...? Ndo ilivyo na kuacha kuvaa nguo za kuionesha siwezi... Ntavaa tu... Yaani wala siwezi acha... Iwe mibaya iwe ina makovu iwe na michirizi ni ya Wema Sepetu... na...
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Utawala kurejeshwa kwa Raia Burkina Faso
Viongozi wa kisiasa, kijeshi na asasi za kiraia wakubaliana mfumo wa Serikali ya mpito nchini Burkina Faso
10 years ago
Mwananchi10 Dec
‘Utawala mbovu ni matokeo ya kufutwa kwa Azimio la Arusha’
Mwanasiasa mkongwe nchini, Getrude Mongella amesema, kufutwa kwa Azimio la Arusha lililowabana viongozi na wananchi kufuata misingi ya mtawala na mtawaliwa ndiyo chanzo cha matatizo yanayolikumba taifa sasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania