Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Utawala wa JK kuacha makovu kwa wanahabari’

>Imedaiwa kuwa kipindi cha miaka kumi ya Rais wa Jakaya Kikwete kimekuwa kigumu kwa wanahabari nchini kwa kujeruhiwa na wengine kuuawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Utamaduni wa kujiweka makovu Afrika

Licha ya vitendo hivi kupungua lakini bado kuna watu wanaotaka kuendeleza kilichofanya na mababu zao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makovu ya mauaji ya Kimbari Rwanda

Imekuwa ni miaka 20 sasa tangu mauaji ya kimbari yasababishe vifo vya watu zaidi ya laki nane nchini Rwanda.

 

10 years ago

GPL

AISHA BUI AHAHA KUONDOA MAKOVU MWILINI

Stori: Imelda Mtema UREMBO! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui anahaha huku na kule kusaka dawa ya kuondoa makovu yaliyotokea katika baadhi ya maeneo ya mwili wake.Akizungumza na mwandishi wetu, Aisha alisema makovu hayo aliyapata hivi karibuni alipokuwa akicheza sinema iliyomtaka agalegale chini porini. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akipozi. “Unajua filamu ni kitu ambacho kipo moyoni na nilitaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Utawala unapotafutwa kwa mabavu

BADO nayakumbuka maneno mazito ya hayati Baba wa Taifa, Mwl Julius Kambarage Nyerere aliyoyatoa siku kadhaa kabla ya kuachia madaraka ya uongozi wa serikali na Chama Cha Mapinduzi.   Nayakumbuka kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Jenerali Sani Abacha: Dikteta aliyeacha makovu mengi Nigeria

Jenerali Sani Abacha alikuwa Rais wa 10 wa Nigeria kuanzia mwaka 1993-1998. Abacha aliyezaliwa Septemba 20, 1943, alifariki dunia katika mazingira ya kutatanisha yaliyoacha maswali mengi kuliko majibu.

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU AWATOLEA UVIVU WANAOSEMA ANA MIGUU MIBAYA NA MAKOVU


Staa wa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao wameibuka kwa wingi mtandaoni wakiitoa karoso miguu ya staa huyo mara baada ya Wema kuweka picha kadhaa akiwa amevaa sketi amabayo inaonyesha miguu yake.“Naomba niwaulize nyinyi mnaojiona miungu watu.... Mlitaka nijiongeze nyama miguuni kwangu au...? Ndo ilivyo na kuacha kuvaa nguo za kuionesha siwezi... Ntavaa tu... Yaani wala siwezi acha... Iwe mibaya iwe ina makovu iwe na michirizi ni ya Wema Sepetu... na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utawala kurejeshwa kwa Raia Burkina Faso

Viongozi wa kisiasa, kijeshi na asasi za kiraia wakubaliana mfumo wa Serikali ya mpito nchini Burkina Faso

 

10 years ago

Mwananchi

‘Utawala mbovu ni matokeo ya kufutwa kwa Azimio la Arusha’

Mwanasiasa mkongwe nchini, Getrude Mongella amesema, kufutwa kwa Azimio la Arusha lililowabana viongozi na wananchi kufuata misingi ya mtawala na mtawaliwa ndiyo chanzo cha matatizo yanayolikumba taifa sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani