Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM, Chadema waikaba NEC Iringa

Mvutano mkali umeibuka baina ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Vyama vya Siasa vya Chadema na CCM kuhusu Daftari la Kudumu la Wapiga kura Jimbo la Kalenga, baada ya kuonekana kuna wapiga kura 600 wa ziada.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Vijana CCM waikaba ZEC ugawaji majimbo

hamduNa Mwandishi Wetu, Zanzibar
JUMUIYA ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeitaka Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kuacha kuendeshwa na wanasiasa na badala yake itangaze mipaka ya majimbo ya uchaguzi kwa mujibu wa sheria.
Imesema kitendo cha kushindwa kufanya hivyo ni kukiuka sheria na utaratibu unaotaka mipaka ya majimbo itangazwe kila baada ya miaka 10.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Zanzibar jana, Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, alisema ZEC imepewa...

 

10 years ago

Vijimambo

WANACHAMA CHADEMA KALENGA MKOANI IRINGA WAHAMIA CCM

Wananchi wa Lyamgungwe wakiwa wameongozana na mbunge wake kwenda kutembelea miradi ya maendeleoMbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kulia akipokea kadi ya CHADEMA kutoka kwa mmoja kati ya viongozi wa CHADEMA kata ya Lyamgungwe aliyehamia CCMMbunge Mgimwa akikagua miradi ya maendeleo jimboni kwakeKada wa CHADEMA (kulia) akipongezwa na mbunge Mgimwa baada ya kujiunga na CCMMbunge Mgimwa akizungumza na wananchi wake baada ya kupokea wana chama wa CHADEMA Picha na habari kwa hisani ya ...

 

10 years ago

Vijimambo

CHADEMA WAANIKA UVUNDO WA BVR; MCHEZO WA NEC, CCM NA SERIKALI‏

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ameibua tuhuma nzito dhidi ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akisema kuwa wamekaidi ushauri wa kitaalam uliowazuia wasitumie mfumo mpya wa Biometric Voter Registration (BVR) katika uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura.
Mbowe amedai kuwa baada ya kuona zoezi la kuandikisha wapiga kura haliendi kama ilivyotakiwa, NEC walimtafuta mshauri mwelekezi aitwae Darrell Geusz,...

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA

Katibu  wa  CCM  mkoa  wa Iringa, Bw.Hassan Mtenga.   CHAMA  cha mapinduzi (CCM) mkoa  wa Iringa chakishangaa chama cha demokrasia na maendeo (CHADEMA) kwa  kuwazuia  wanachama  wake  mjini Iringa  kunywa maziwa  ya  Asas Dairies Ltd Akizungumza na  waandishi  wa habari  ofisini  kwake jana katibu  wa  CCM  mkoa  wa Iringa  Hassan Mtenga  alisema ...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: CCM WASHINDA KATA ZOTE TATU MKOA WA IRINGA, CHADEMA YASHINDA NJOMBE MJINI

 Wafuasi wa CCM Iringa  wakimpongeza kaimu katibu  wa CCM mkoa wa Iringa Hassan Mtenga kwa kufanikisha  chama  hicho kushinda  uchaguzi mdogo kata ya  Nduli. Wafuasi wa CCM kata ya Nduli  wakiwa  wamemnyanya  juu  juu  aliyekuwa mgombea  udiwani kata ya Nduli Bw Mtove  baada ya  matokeo kumpa ushindi wa kishindo leo  ........................... CHAMA  cha  mapinduzi (CCM)  mkoa  wa  Iringa  kimefanikiwa  kutetea kata  zake  zote tatu ambazo  leo   wananchi  wameshiriki  kupiga kura ...

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI

Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga katika kikao na baadhi ya vijana hao











KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.


CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.


Katika...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani