Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA flexes muscles against JK, NEC


IPPmedia
CHADEMA flexes muscles against JK, NEC
IPPmedia
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) says President Jakaya Kikwete is to blame for its current friction with the National Electoral Commission (NEC) due to his failure to pioneer a people's constitution that would impose an independent electoral ...
Ukawa urges NEC to allow Parallel Vote TabulationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 5

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Mkwawa dons flex muscles

The University of Dar es Salaam Academic Staff Assembly (Udasa) at Mkwawa College of Education (MUCE) said yesterday its members will not start a new academic year (2015/16) unless the government effects the proposed new service structure for public universities staff.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema yaituhumu Nec.

Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Chadema yaituhumu Nec. NA ELIZABETH ZAYA 24th August 2015 Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed […]

The post Chadema yaituhumu Nec. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC: Chadema inatupa shida

Dar/Arusha. Ombi la Chadema la kutaka wataalamu wa Tehama wa vyama vya siasa na waangalizi wa kimataifa waruhusiwe kukagua programu itakayotumika kuhesabu kura za urais, limesababisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kukitaja chama hicho kuwa ndicho pekee kinachoipa shida katika utekelezaji wa majukumu yake.

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yazidi kuikalia kooni NEC

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema Chadema inawasumbua kutokana na madai yao ya mara kwa mara, lakini chama hicho kikuu cha upinzani hakijakoma; kimeitaka Tume kujibu mambo matano kuhusu Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema waikaba NEC Iringa

Mvutano mkali umeibuka baina ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Vyama vya Siasa vya Chadema na CCM kuhusu Daftari la Kudumu la Wapiga kura Jimbo la Kalenga, baada ya kuonekana kuna wapiga kura 600 wa ziada.

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yaipa NEC siku tatu

Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo watatumia nguvu ya umma kuwalazimisha kufanya hivyo.

 

9 years ago

StarTV

Chadema yadai kukamata kadi feki za NEC.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeituhumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwa inakihujumu kwa kutengeneza kadi za ziada zaidi ya milioni 2 ili kukipa ushindi Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwaka huu.

Akiongea na waandishi wa habari, mgombea ubunge  jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chadema, Saed Kubenea ameeleza kuwa wamepata kadi 100 kati ya kadi hizo ambazo zimewasilishwa kwao na baadhi ya wafanyakazi wa NEC wanaowataja kama ‘Wasamalia Wema’ waliowapa taarifa ya...

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema accuses NEC of sabotage in mayoral polls

Chadema yesterday cried foul over failure by the polls body to forward the names of its nominted councillors to local authorities ahead of the ongoing mayoral elections.

 

9 years ago

IPPmedia

Ludewa Chadema aspirant challenges decision of NEC


IPPmedia
Ludewa Chadema aspirant challenges decision of NEC
IPPmedia
A Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aspirant for Ludewa Constituency Msambichaka Mkinga who failed to go through the primary nominations has appealed to National Electoral Commission (NEC),challenging the decision.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani