Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigaila wa Chadema amkatia rufaa Mavunde NEC

Mgombea ubunge katika Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chadema, Benson Kigaila amekata rufaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupinga uteuzi wa Antony Mavunde, kuwania nafasi hiyo kupitia CCM huku akiwa mtumishi wa umma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

BENSON KIGAILA WA CHADEMA, ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE DODOMA MJINI

Mkurungenzi wa Oganezesheni na Mafunzo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Benson Kigaira akiwa kwenye gari la wazi akipungia wafuasi wa chama hicho, wakati akielekea kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania ubunge jimbo la Dodoma mjini leo Jumatatu Agosti 17, 2015Kigaila, akipokea fomu kutoka kwa afisa wa CHADEMA mkoani Dodoma, Elizabeth Gumbo

 

9 years ago

Mwananchi

Hukumu ya NEC katika rufaa za ubunge kwa wagombea

Wakati kipenga cha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na rais kimeshapulizwa Agosti 22 na Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), tume hiyo imepokea rufani za baadhi ya wagombea na vyama kupinga wagombea wa vyama vingine katika ngazi ya udiwani na ubunge.

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea Chadema akata rufaa

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa jimbo la uchaguzi la Ludewa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bartholomew Msambichaka, amekata rufaa Tume ya Uchaguzi (NEC) kupinga pingamizi alilowekewa akidaiwa kutorudisha fomu namba 10.

 

9 years ago

Vijimambo

Chadema yawakatia rufaa waliopita 'kiulaini'.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Nec, Ramadhani Kailima.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekata rufani katika majimbo matatu ya Bumbuli, Mlalo na Ludewa baada ya pingamizi zake kutupiliwa mbali.

Pingamizi hizo zilitupiliwa mbali na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo hayo na hivyo kuwatangaza wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepita bila kupingwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwanasheria wa Chadema, Peter Kibatala, alisema tayari wamewasilisha rufani...

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto ruksa kukata rufaa Chadema

>Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umempelekea Zitto Kabwe taarifa ya kikao cha Kamati Kuu kilichomvua madaraka yake ndani ya chama hicho ili aweze kukata rufaa.

 

5 years ago

Michuzi

Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri kuwa  hakuna shabiki yetote atakayeruhusiwa kuingia mahakamani hapo kusikiliza rufaa iliyokatwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake saba kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema yaituhumu Nec.

Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Chadema yaituhumu Nec. NA ELIZABETH ZAYA 24th August 2015 Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed […]

The post Chadema yaituhumu Nec. appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

CHADEMA Blog

Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko

Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344  yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko. Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu

 

9 years ago

IPPmedia

CHADEMA flexes muscles against JK, NEC


IPPmedia
CHADEMA flexes muscles against JK, NEC
IPPmedia
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) says President Jakaya Kikwete is to blame for its current friction with the National Electoral Commission (NEC) due to his failure to pioneer a people's constitution that would impose an independent electoral ...
Ukawa urges NEC to allow Parallel Vote TabulationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 5

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani