Kigaila wa Chadema amkatia rufaa Mavunde NEC
Mgombea ubunge katika Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chadema, Benson Kigaila amekata rufaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupinga uteuzi wa Antony Mavunde, kuwania nafasi hiyo kupitia CCM huku akiwa mtumishi wa umma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zSz9PhCrUHk/VdIAjZ2sSbI/AAAAAAAAX2E/EyDsH7keNgI/s72-c/CHADEMA%2BDODOMA%2B3jpg.jpg)
BENSON KIGAILA WA CHADEMA, ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE DODOMA MJINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zSz9PhCrUHk/VdIAjZ2sSbI/AAAAAAAAX2E/EyDsH7keNgI/s640/CHADEMA%2BDODOMA%2B3jpg.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9OPwbnq-4HI/VdIAl0PHWpI/AAAAAAAAX2M/U1AeLrqfwGY/s640/MGOMBEA%2BUBUNGE%2BCHADEMA.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-peBqfs3s_Ls/VdIAphhWp2I/AAAAAAAAX2U/c6pPDVLu1no/s640/CHADEMA%2BDODOMA%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KyhFT5hxC_A/VdIApi0Ok8I/AAAAAAAAX2Y/jqeA9QeMpjA/s640/CHADEMA%2BDODOMA%2B2.jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Hukumu ya NEC katika rufaa za ubunge kwa wagombea
9 years ago
Habarileo30 Aug
Mgombea Chadema akata rufaa
ALIYEKUWA mgombea ubunge wa jimbo la uchaguzi la Ludewa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Bartholomew Msambichaka, amekata rufaa Tume ya Uchaguzi (NEC) kupinga pingamizi alilowekewa akidaiwa kutorudisha fomu namba 10.
9 years ago
Vijimambo26 Aug
Chadema yawakatia rufaa waliopita 'kiulaini'.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Rama-26August2015.jpg)
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekata rufani katika majimbo matatu ya Bumbuli, Mlalo na Ludewa baada ya pingamizi zake kutupiliwa mbali.
Pingamizi hizo zilitupiliwa mbali na Wasimamizi wa Uchaguzi wa Majimbo hayo na hivyo kuwatangaza wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamepita bila kupingwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwanasheria wa Chadema, Peter Kibatala, alisema tayari wamewasilisha rufani...
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Zitto ruksa kukata rufaa Chadema
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
Wafuasi wa Chadema marufuku mahakamani wakati wa usikilizwaji wa Rufaa ya viongozi wao
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s640/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho nchi...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Chadema yaituhumu Nec.
Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Chadema yaituhumu Nec. NA ELIZABETH ZAYA 24th August 2015 Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed […]
The post Chadema yaituhumu Nec. appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
9 years ago
IPPmedia05 Oct
CHADEMA flexes muscles against JK, NEC
IPPmedia
IPPmedia
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) says President Jakaya Kikwete is to blame for its current friction with the National Electoral Commission (NEC) due to his failure to pioneer a people's constitution that would impose an independent electoral ...
Ukawa urges NEC to allow Parallel Vote TabulationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 5