ICC yamshtua Kikwete
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
KATIKA kile ambacho kwa wakati huu kinaweza kuonekana kama kimemshtua Rais Jakaya Kikwete, ni hatua yake ya kurejea kauli ambayo imekuwa ikitolewa na viongozi wa Afrika dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC).
Kwamba viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.
Kauli hiyo ya Rais Kikwete ambayo aliitoa jana jijini Dar es Salaam wakati akifungua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Dec
Sare na Simba yamshtua Kocha Azam
KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amesema atahakikisha anafanyia kazi safu ya ulinzi ili makosa yaliyojitokeza katika mechi dhidi ya Simba yasijirudie mchezo ujao. Vinara hao wa Ligi Kuu walilazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo matokeo hayo yaliendelea kuwabakiza kileleni wakiwa na pointi 26.
9 years ago
TheCitizen12 Sep
Kikwete makes U-turn on ICC
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''