Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICC yamshtua Kikwete

my-prezNA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

KATIKA kile ambacho kwa wakati huu kinaweza kuonekana kama kimemshtua Rais Jakaya Kikwete, ni hatua yake ya kurejea kauli ambayo imekuwa ikitolewa na viongozi wa Afrika dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC).

Kwamba viongozi wa Afrika hawafurahii kwa namna ambavyo mahakama hiyo inavyofanya kazi zake kwa kuwashughulikia zaidi viongozi wa mataifa ya Afrika.

Kauli hiyo ya Rais Kikwete ambayo aliitoa jana jijini Dar es Salaam wakati akifungua...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Sare na Simba yamshtua Kocha Azam

KOCHA wa Azam FC, Stewart Hall amesema atahakikisha anafanyia kazi safu ya ulinzi ili makosa yaliyojitokeza katika mechi dhidi ya Simba yasijirudie mchezo ujao. Vinara hao wa Ligi Kuu walilazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambapo matokeo hayo yaliendelea kuwabakiza kileleni wakiwa na pointi 26.

 

9 years ago

TheCitizen

Kikwete makes U-turn on ICC

President Jakaya Kikwete has cautioned the African Union (AU) member states over attacks against The Hague-based International Criminal Court (ICC), lest they were perceived to condone impunity.

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''

Mahakama ya ICC inadai kuwa shahidi aliyeuawa aliwahonga mashahidi wengine. Na Emmanul Igunza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani