Ice Prince kamuweka mpenzi wake kwenye hizi dakika nne za ‘Feelings’ – (Video)!
Mkali wa muziki kutoka Nigeria, Ice Prince Zamani anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani. Baada ya kuuweka wazi uhusiano wake na mrembo Maima, staa huyo amekuja na mdundo mwengine kwenye video ambayo mpenzi wake amecheza kama video queen. Wimbo unaitwa ‘Feelings’ na kwa muonekano wa mambo ndani ya video ni wazi kabisa kuwa mtu wetu […]
The post Ice Prince kamuweka mpenzi wake kwenye hizi dakika nne za ‘Feelings’ – (Video)! appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Oct
Video: Ice Prince — Boss
10 years ago
Bongo504 Dec
New Video: Ice Prince — That Could BeUs
9 years ago
Bongo516 Dec
Video: Ice Prince – Feelings
![iceprnce](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/iceprnce-300x194.jpg)
Mwana muziki kutoka Nigeria, Ice Prince Zamani, Baada ya kuuweka wazi uhusiano wake na mrembo Maima, staa huyo ameachia video yake mpya ya wimbo “Feelings”, Katika hii video ambayo mpenzi wake amecheza kama video queen.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JXMZF6HyvvU/default.jpg)
9 years ago
Global Publishers16 Dec
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Christina Milian kamuweka Snoop Dogg kwenye hii mpya; ‘Like Me’ – (Video)!
Christina Milian anaendelea kuzisogeza videos zinazopatikana kwenye Extended Play (EP) yake, 4U… Baada ya kuachia ngoma na rapper Lil Wayne, time hii Christina anaisogeza kwetu nyingine mpya pembeni akiwa na rapper Snoop Dogg. Wimbo unaitwa ‘Like Me’ na official music video yake ipo hewani tayari… kuhusu kumshirikisha Snoop Dogg kwenye mdundo huu, Christina Milian alisema […]
The post Christina Milian kamuweka Snoop Dogg kwenye hii mpya; ‘Like Me’ – (Video)! appeared first on...
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Mwanamke alivyomalizia hasira kwenye gari baada ya kumfumania mpenzi wake Brazil.. (+Video)
Hii video imeenea sana mitandaoni lakini haina maelezo juu ya mazingira ya tukio lenyewe… nimefanikiwa kukipata chanzo cha habari kutoka Brazil wakiwa na stori yote ilivyokuwa mpaka mwanamke huyo kuamua kumalizia hasira zake kwenye gari. Mwanamke huyo hajatajwa jina, ila tukio limetokea Ceilandia jirani na Jiji la Brasilia, Brazil na ilikuwa December 5 2015… mwanamke ni […]
The post Mwanamke alivyomalizia hasira kwenye gari baada ya kumfumania mpenzi wake Brazil.. (+Video) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video)
Rapper wa kike mrembo kabisa Nicki Minaj anakuwa mmoja ya mastaa wa Marekani na mastaa wakubwa Duniani waliogonga vichwa vya habari kwa kufanya show za nguvu kwenye nchi za Africa. Mzigo mzima wa Nicki Minaj ulikuwa ni Angola weekend iliyopita na hapa nina kipande cha video kuanzia Nicki anatua Airport, show yake kwenye stage, na […]
The post Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)
Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]
The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...