Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ice Prince kamuweka mpenzi wake kwenye hizi dakika nne za ‘Feelings’ – (Video)!

Mkali wa muziki kutoka Nigeria, Ice Prince Zamani anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani. Baada ya kuuweka wazi uhusiano wake na mrembo Maima, staa huyo amekuja na mdundo mwengine kwenye video  ambayo mpenzi wake amecheza kama video queen. Wimbo unaitwa ‘Feelings’ na kwa muonekano wa mambo ndani ya video ni wazi kabisa kuwa mtu wetu […]

The post Ice Prince kamuweka mpenzi wake kwenye hizi dakika nne za ‘Feelings’ – (Video)! appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Ice Prince — Boss

Chocolate City Rapper, Ice Prince unveils the fresh ‘Boss’ visuals directed by ace director, Moe Musa. Boss, produced by Tekno was released a few weeks earlier and seems to be catching on fast. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube […]

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Ice Prince — That Could BeUs

Ice Prince releases the video to his recently released hit single “That Could Be Us” produced by ace producer Legendary Beats, this follows up iconic videos Shots on Shots, Whiskey and N Word Remix which were all released earlier this year.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ice Prince – Feelings

iceprnce

Mwana muziki kutoka Nigeria, Ice Prince Zamani, Baada ya kuuweka wazi uhusiano wake na mrembo Maima, staa huyo ameachia video yake mpya ya wimbo “Feelings”, Katika hii video ambayo mpenzi wake amecheza kama video queen.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Global Publishers

9 years ago

MillardAyo

Christina Milian kamuweka Snoop Dogg kwenye hii mpya; ‘Like Me’ – (Video)!

Christina Milian anaendelea kuzisogeza videos zinazopatikana kwenye Extended Play (EP) yake, 4U… Baada ya kuachia ngoma na rapper Lil Wayne, time hii Christina anaisogeza kwetu nyingine mpya pembeni akiwa na rapper Snoop Dogg. Wimbo unaitwa ‘Like Me’ na official music video yake ipo hewani tayari… kuhusu kumshirikisha Snoop Dogg kwenye mdundo huu, Christina Milian alisema […]

The post Christina Milian kamuweka Snoop Dogg kwenye hii mpya; ‘Like Me’ – (Video)! appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Mwanamke alivyomalizia hasira kwenye gari baada ya kumfumania mpenzi wake Brazil.. (+Video)

Hii video imeenea sana mitandaoni lakini haina maelezo juu ya mazingira ya tukio lenyewe… nimefanikiwa kukipata chanzo cha habari kutoka Brazil wakiwa na stori yote ilivyokuwa mpaka mwanamke huyo kuamua kumalizia hasira zake kwenye gari. Mwanamke huyo hajatajwa jina, ila tukio limetokea Ceilandia jirani na Jiji la Brasilia, Brazil na ilikuwa December 5 2015… mwanamke ni […]

The post Mwanamke alivyomalizia hasira kwenye gari baada ya kumfumania mpenzi wake Brazil.. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video)

Rapper wa kike mrembo kabisa Nicki Minaj anakuwa mmoja ya mastaa wa Marekani na mastaa wakubwa Duniani waliogonga vichwa vya habari kwa kufanya show za nguvu kwenye nchi za Africa. Mzigo mzima wa Nicki Minaj ulikuwa ni Angola weekend iliyopita na hapa nina kipande cha video kuanzia Nicki anatua Airport, show yake kwenye stage, na […]

The post Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video)

Jumamosi ya December 19 zimechezwa mechi saba za Ligi Kuu Uingereza, michezo ambayo ilikuwa inatajwa kuwa na mvuto zaidi ni mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Sunderland. Huu ulikuwa na mvuto kwa sababu ndio mchezo wa kwanza wa Chelsea kucheza bila kuwepo kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Jose Mourinho.Chelsea imefanikiwa kuifunga Sunderland kwa jumla […]

The post Enjoy dakika nne za ushindi wa kwanza wa Chelsea bila Mourinho na kipigo cha Man United Old Trafford (+Video) appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani