Ijue Ijumaa Kuu
Ijumaa Kuu ni siku ya mwaka ambayo wafuasi wengi wa Yesu Kristo wanaadhimisha kifo chake msalabani ambacho kilitokea nje ya kuta za mji wa Yerusalemu siku ya Ijumaa.
Kadiri ya Mtume Yohane kesho yake ilikuwa Sabato na pia Pasaka, jambo lisilotokea kwa kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu mbalimbali wanakadiria ilikuwa tarehe 7 Aprili 30.
Ijumaa kuu ni sehemu ya Juma Kuu linaloanza kwa adhimisho la Yesu kuingia mji huo akishangiliwa kama mfalme wa Wayahudi (yaaniMasiya au Kristo). Adhimisho...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV19 Aug
IJUE ORODHA YA WAAMUZI WATAKAOCHEZESHA LIGI KUU BARA, LIGI DARAJA LA KWANZA ..
WAAMUZI WA LIGI KUU YA VODACOM
Kamati ya Waamuzi nchini imetangaza orodha ya waamuzi wanaotakiwa kushiriki Semina na mtihani wa waamuzi itakayoanza tarehe 21- 25 Agosti, 2015 jijini Dar es salam, Waamuzi hao na sehemu wanaozotekea katika mabano ni Alex Mahagi (Mwanza), Hashim Abdallah (Dsm), Athony Kayombo (Rukwa), Amon Paul (Mara), Ahamada Simba (Kagera), Athuman Lazi (Morogoro), Abdallah Kambuzi (Shinyanga), Martin Saanya (Morogoro), Israel Nkongo (Dsm), Zakaria Jacob (Pwani), Michael...
10 years ago
Habarileo03 Apr
Pengo kuongoza misa Ijumaa Kuu
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, leo anatarajiwa kuongoza misa ya Ijumaa Kuu, itakayofanyika katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jimboni humo.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s72-c/MMGL2418.jpg)
Mh. Lowasaa katika Ibada ya Ijumaa Kuu leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s1600/MMGL2418.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IFTdEspN83s/VR6vnMaPxrI/AAAAAAAHPII/JkatUCuytIY/s1600/MMGL2428.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OspgSvEoKj4/VR6vnZPxuZI/AAAAAAAHPIM/yAlmrdAerXw/s1600/MMGL2429.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RscMVAv-C1k/VR6vnsmQObI/AAAAAAAHPIQ/MQlPVWcX7iA/s1600/MMGL2443.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--4AM0m9RHk8/VR6voJLfc4I/AAAAAAAHPIg/bIL-sKad480/s1600/MMGL2446.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UupZA65bby8/VR6votcYxZI/AAAAAAAHPIk/lYL4c3gQ-Es/s1600/MMGL2449.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1f8YNHrmFY/VR6vrT5K7lI/AAAAAAAHPJM/KfzSoThV_8Q/s1600/MMGL2526.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-buJylwUXT8I/VR6vq_rgqlI/AAAAAAAHPJI/iTobkROOSTQ/s1600/MMGL2515.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ton7ExAcSbg/VR6vpVthVqI/AAAAAAAHPIw/wiFmhPX7G_w/s1600/MMGL2452.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7b8DUYmjyFQ/XpCmiHKA6MI/AAAAAAACJvU/6ort20cTn5QYh_0DwF6AGtrFre5wIceDgCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA IJUMAA KUU, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-7b8DUYmjyFQ/XpCmiHKA6MI/AAAAAAACJvU/6ort20cTn5QYh_0DwF6AGtrFre5wIceDgCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
Ibada ya Ijumaa Kuu huadhimishwa ikiwa ni kumbukumbu ya kusulubiwa na kufa kwa Bwana Yesu Kristo, zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.
Katika salamu zake, Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Padre Sanga kwa...
10 years ago
GPLTASWIRA YA MISA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. JOSEPH, DAR
10 years ago
MichuziIBADA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s72-c/MMGL2418.jpg)
IBADA YA IJUMAA KUU YA PASAKA KATIKA KANISA LA KKKT AZANIA FRONT JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s1600/MMGL2418.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ton7ExAcSbg/VR6vpVthVqI/AAAAAAAHPIw/wiFmhPX7G_w/s1600/MMGL2452.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1f8YNHrmFY/VR6vrT5K7lI/AAAAAAAHPJM/KfzSoThV_8Q/s1600/MMGL2526.jpg)
Sehemu ya Waumini wa Kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam, wakiwa kwenye Ibada ya Ijumaa Kuu leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-KbHjVvkx1d8/VR6vzA3xyKI/AAAAAAAHPLM/pc3vRnuyayU/s1600/MMGL2920.jpg)