TASWIRA YA MISA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. JOSEPH, DAR
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam jana, Katikati aliyeshikilia msalaba huo ni Padri Audax Kaasa wa kanisa hilo. Mtoto Benedicta Mushi, ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Masaka English Medium akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu, kulia kwa mtoto huyo ni...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziIBADA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aK8TNjI1xEc/U1PQPa5jPFI/AAAAAAAFcBo/EI9eTN_nX_4/s1600/unnamed+(59).jpg)
Taswira za misa ya pasaka kanisa katoliki jimbo la dodoma leo
Askofu Gervas John Nyaisonga wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma akitoa Mahubiri wakati wa Misa ya Pasaka, kuadhimisha miaka zaidi ya elfu mbili tangu Ufufuko wa Yesu Kristo. Ibada hii iliyohudhuriwa na maelfu ya watu imefanyika katika Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-jOnV3FDeEQw/U1PQM62GkbI/AAAAAAAFcBQ/2J-qJQOiWNk/s1600/unnamed+(56).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gWsN-zni7Ag/U1PQp-DWCyI/AAAAAAAFcB4/GQTgGKJV5Co/s1600/unnamed+(58).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s72-c/MMGL2418.jpg)
IBADA YA IJUMAA KUU YA PASAKA KATIKA KANISA LA KKKT AZANIA FRONT JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9XJOejb-FU/VR6vliBakjI/AAAAAAAHPH0/IX4bevi1tEs/s1600/MMGL2418.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ton7ExAcSbg/VR6vpVthVqI/AAAAAAAHPIw/wiFmhPX7G_w/s1600/MMGL2452.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D1f8YNHrmFY/VR6vrT5K7lI/AAAAAAAHPJM/KfzSoThV_8Q/s1600/MMGL2526.jpg)
Sehemu ya Waumini wa Kanisa la KKKT Azania Front jijini Dar es Salaam, wakiwa kwenye Ibada ya Ijumaa Kuu leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-KbHjVvkx1d8/VR6vzA3xyKI/AAAAAAAHPLM/pc3vRnuyayU/s1600/MMGL2920.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Feb
Dkt. Bilal ahudhuria misa maalum ya kumuombea marehemu Evodius Walingozi kanisa la Mtakatifu Joseph Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Askofu Eusebius Nzigilwa, wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo Feb 14 kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na baadhi ya waumini wa dini ya Kikristu wakati wa Misa maalum ya kumuombea Marehemu Evodius Walingozi, iliyofanyika leo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA MISA MAALUM YA KUMUOMBEA MAREHEMU EVODIUS WALINGOZI KANISA LA MTAKATIFU JOSEPH DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-J0BorKjwCZg/VN8majwVYiI/AAAAAAAHDtI/uQzKafvbTm4/s1600/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-H19e48LhcxM/VN8ma1FuosI/AAAAAAAHDtQ/ZhZs4Uv-1LM/s1600/1.jpg)
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
11 years ago
MichuziMILIONI 319 ZAPATIKANA KATIKA HARAMBEE YA UJENZI WA KANISA KATOLIKI LA MAKONGO JUU JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog04 Apr
Padri Audax Kaasa aongoza ibada katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Dar Es Salaam
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu katika Kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam, Katikati aliyeshikilia msalaba huo ni Padri Audax Kaasa wa kanisa hilo.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
Mtoto Benedicta Mushi, ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Masaka English Medium akiubusu msalaba, wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu, kulia kwa mtoto huyo ni Baba mzazi Philip Mushi.
Waziri wa Mambo ya Nje...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tggaI27wQUA/Vn0C--kW8HI/AAAAAAAIOmU/L4eopUNDvCw/s72-c/x2.jpg)
RAIS MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA KRISMASI KATIKA KANISA LA MTAKATIFU PETER JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-tggaI27wQUA/Vn0C--kW8HI/AAAAAAAIOmU/L4eopUNDvCw/s640/x2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XWWJmUvBq1g/Vn0DCgoGnII/AAAAAAAIOmw/KZtRgomr2_I/s640/x3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9NbQUGgYIm0/Vn0DDqHzdYI/AAAAAAAIOm8/UwuoebKhg9g/s640/x4.jpg)