Taswira za misa ya pasaka kanisa katoliki jimbo la dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-aK8TNjI1xEc/U1PQPa5jPFI/AAAAAAAFcBo/EI9eTN_nX_4/s1600/unnamed+(59).jpg)
Askofu Gervas John Nyaisonga wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma akitoa Mahubiri wakati wa Misa ya Pasaka, kuadhimisha miaka zaidi ya elfu mbili tangu Ufufuko wa Yesu Kristo. Ibada hii iliyohudhuriwa na maelfu ya watu imefanyika katika Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma.
Askofu Gervas John Nyaisonga wa Jimbo katoliki la Dodoma akiwabariki waumini kwenye Misa ya Pasaka katika Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma, kuadhimisha miaka Zaidi ya elfu mbili tangu Ufufuko wa Yesu Kristo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTASWIRA YA MISA YA IJUMAA KUU KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. JOSEPH, DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lSYXD3nUq1o/VSIUrk08nHI/AAAAAAAAN-Q/h55h_QQ1IJ0/s72-c/1.jpg)
JUMUIYA YA KANISA KATOLIKI HOUSTON. TEXAS, WASHEREHEKEA SIKUKUU YA PASAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lSYXD3nUq1o/VSIUrk08nHI/AAAAAAAAN-Q/h55h_QQ1IJ0/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0O06CcXU3ik/VSIYYapiCiI/AAAAAAAAOBY/hl17YsNfV3U/s640/20150405_185712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AJGRDmQo7Ho/VSIYWyICsrI/AAAAAAAAOBM/ueu46CrBQYs/s640/20150405_185740.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PLFnwWlLFD8/VSIYYM-vJLI/AAAAAAAAOBU/0lavFwMTBLM/s640/20150405_185801.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ihATOsIqEbc/VSIYcAV-PDI/AAAAAAAAOBk/y1FcdQmOfLc/s640/20150405_202726.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RCMWxJmeyf0/VSIVAgpQItI/AAAAAAAAN_Y/nIGhLMbsSLM/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6N1iypdLO_8/VSIVRYwsmpI/AAAAAAAAOAc/_CyDteC6sWY/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_5xuJxksVtw/VSIVQofzlOI/AAAAAAAAOAY/zu0IOcOmgQU/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6XuqdV6lX9w/VSIVSinBWCI/AAAAAAAAOAo/UxNOLh11ziA/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u6DWzkx3fiQ/VSIVWLiqmzI/AAAAAAAAOAw/Tm0R2g-Y8Iw/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aUSBe49tjHs/VSIVWrNDvvI/AAAAAAAAOA4/snEfZqltNt8/s640/7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5ON5iYMLGNY/VSIVXPyJkgI/AAAAAAAAOA8/FJgBxHGXHFA/s640/8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TdRBFOSrsN0/VSIUrRnV_mI/AAAAAAAAN-I/_Xgzpu0Mqps/s640/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DwemCSCpG64/VSIUrlHk0pI/AAAAAAAAN-M/CskUaMlYsPg/s640/11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xoZr64apnNM/VSIUzgBTpkI/AAAAAAAAN-k/19iSpK6pBpU/s640/12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LfdKbIX58SU/VSIUzTEMqmI/AAAAAAAAN-g/-oFet3bAhq8/s640/13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lb2QO7pfhfg/VSIUzWZ-x1I/AAAAAAAAN-o/i2RWFeLU8sg/s640/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--KurVHwUNg8/VSIU6JsUY2I/AAAAAAAAN-8/gG8by3UF5OE/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pFPM_PNJLzk/VSIU6avcXOI/AAAAAAAAN_E/mv1-JRL2aSE/s640/16.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0VjG_nFHf1o/VSIU5rVNVAI/AAAAAAAAN-4/9sdxPyM4O10/s640/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wT1zryuEpj8/VSIU_4OFLJI/AAAAAAAAN_Q/0Uenkc633j4/s640/18.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rJc7VWSZzSM/VSIVCSRnYSI/AAAAAAAAN_g/5Btp1--Eg9c/s640/20150405_174127.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zdmdklw7gbg/VSIVExGR_NI/AAAAAAAAN_s/ZS_3wsmfWQE/s640/20150405_174210.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-h4xRxbWDvbc/VSIVE4wOtTI/AAAAAAAAN_o/ZwL-Mnx38Q8/s640/20150405_174229.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q8VV7tsauKo/VSIVGDtzcVI/AAAAAAAAN_4/bNp1KgUEJ1o/s640/20150405_174256.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hea6_5Si39M/VSIVLaw6EnI/AAAAAAAAOAE/z4bjTfJcviU/s640/20150405_174309.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gt54oY9osr4/VSIVOAUe9nI/AAAAAAAAOAQ/207Mb35eoMY/s640/20150405_174321.jpg)
10 years ago
Habarileo17 Jan
Askofu Mkuu Mteule Kanisa Katoliki Dodoma kusimikwa kesho
MAKAMU wa Rais Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika misa takatifu ya kusimikwa kwa Askofu Mkuu Mteule wa jimbo kuu jipya la Kanisa Katoliki la Dodoma, Beatusi Kinyaiya.
10 years ago
VijimamboAskofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo hali ya afya yake inaendelea kuimarika
Na Goodluck Eliona, Mwananchi Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.Akizungumza kwenye Misa Takatifu ya Mavuno na shukurani kwa jimbo hilo, iliyofanyika jana Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, Pengo alisema ameamua kuitumia siku...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s72-c/1.jpg)
KANISA KATOLIKI POROKIA YA MWANANYAMALA YAZINDUA HARAMBEE KUKARABATI KANISA HILO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ph4Aa25jMlk/VTTiw8bmmAI/AAAAAAAC3UQ/8EHqustY3aw/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sZD_07Sg5v0/VTTiuCUA03I/AAAAAAAC3UI/t4dJUbMvvnw/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GyxUwmKhA-Y/VTTi6vqqaXI/AAAAAAAC3U0/Q99oBdlO65s/s1600/9.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala yazindua harambee kukarabati kanisa hilo
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akizindua Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo jijini Dar es Salaam.
Paroko wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Focus Masawe, akionyesha Kadi maalumu na tiketi kwa ajili ya harambee kuchangia ujenzi na ukarabati wa Kanisa hilo baada ya kuzindua rasmi
Mwanajumuiya wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwananyamala, Stephen Minja, akionyesha Kadi Maalumu ya harambee ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WSzoRCdZ2Zw/VFurc3cTfqI/AAAAAAAGv1U/lviIc-smX3c/s72-c/download.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: Beatus Kinyaia ateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa jimbo kuu Katoliki la Dodoma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-WSzoRCdZ2Zw/VFurc3cTfqI/AAAAAAAGv1U/lviIc-smX3c/s400/download.jpg)
Hatimaye leo baba Mtakatifu Papa Francisco amempandisha kutoka askofu hadi kuwa askofu Mkuu askofu Beatus Kinyaiya, O.F.M. Cap (pichani) wa jimbo kuu Katoliki la Dodoma.Askofu Beatus Kinyaiya alizaliwa Mei 9, 1957. Akapata daraja takatifu la Upadre katika shirika la Kimisionari la Wafranciscan Minor tarehe 25 juni, 1989. Aliteuliwa kuwa askofu wa jimbo Katoliki la Mbulu tarehe 22 Aprili, 2006, nakusimikwa/ wekwa wakfu rasmi na Kardinali Polycarp...
9 years ago
VijimamboBALOZI WA PAPA MTAKATIFU NCHINI FRANCHESCO PADILIA AMEMVALISHA MKANDA WA PALIOTAKATIFU ASKOFU WA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA BEATUS KINYAIYA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tggaI27wQUA/Vn0C--kW8HI/AAAAAAAIOmU/L4eopUNDvCw/s72-c/x2.jpg)
RAIS MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA KRISMASI KATIKA KANISA LA MTAKATIFU PETER JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-tggaI27wQUA/Vn0C--kW8HI/AAAAAAAIOmU/L4eopUNDvCw/s640/x2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XWWJmUvBq1g/Vn0DCgoGnII/AAAAAAAIOmw/KZtRgomr2_I/s640/x3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9NbQUGgYIm0/Vn0DDqHzdYI/AAAAAAAIOm8/UwuoebKhg9g/s640/x4.jpg)