Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IJUMAA KAREEM KUMI LA MWISHO LA MWEZI WA RAMADHAN

 Ijumaa kareem leo kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhan Bi. Mariam akipata Sala ya Ijumaa msikiti wa Yoyogi Uwehara uliopo Tokyo nchini Japan.Bi. Mariam akiwa nje ya msikiti Yoyogi Uwehara uliopo Tokyo nchini Japan.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

10 years ago

IPPmedia

Ramadhan Kareem, a month of peace ahead of General Election


Ramadhan Kareem, a month of peace ahead of General Election
IPPmedia
A key element of a democratic state is the upholding of the charter of human rights that calls for among other rights and freedoms, the freedom to worship. In this regard, with its 'fruit bowl' mix of religions, Tanzania is an outstanding example of peaceful ...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

Mualiko wa Kongamano la 6 la Kukaribisha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

TAMPRO inayofuraha kwa heshima na taadhima kukuarifu kufanyika kwa Kungamano la Sita la Kukaribisha Mwezi wa Ramadhan 1435H, Siku ya Jumapili June 22, 2014 Katika ukumbi wa Julias Nyerere International Convention Centre (JNICC) – Shaaban Robert Street,Dar es Salaam kuanzia saa 02:30 Asubuhi Mpaka Saa 10:30 Alasiri.
TAMPRO ni Taasisi ya wanataaluma wa Kiislamu katika fani mbali mbali iliyosajiriwa Mwaka 1997 kwa lengo la kuwaleta pamoja wanataaluma wa kiislamu kulitumikia taifa huku...

 

5 years ago

CCM Blog

DK. SHEIN ATOA SALAMU ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa Salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa   Wananchi  wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla.

Pia aliwatakia waislamu wote mfungo mwema  wa Mwezi huu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali ikiwemo sadaka na zaka na mengineyo  pia kuondokana na mikusanyiko isiyofaa kuyaepuka maradhi   yaliyoingia Duniani kote na kufuatana maelekezo yanayotolewa na Viongozi wao pamoja  na kujihifadhi na...

 

5 years ago

Michuzi

DKT SHEIN ATOA SALAM ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa Salamu za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa   Wananchi  wa Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Pia aliwatakia waislamu wote mfungo mwema  wa Mwezi huu wa Ramadhani kwa kufanya ibada mbali mbali ikiwemo sadaka na zaka na mengineyo  pia kuondokana na mikusanyiko isiyofaa kuyaepuka maradhi   yaliyoingia Duniani kote na kufuatana maelekezo yanayotolewa na Viongozi wao pamoja  na kujihifadhi na ...

 

5 years ago

Michuzi

RC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU






Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.




Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.


Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.



Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani