Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Innalillahi wa Inna Ilaihi Rajioun: SUPREME Mufti wa Uganda afariki dunia

Innalillahi wa Inna Ilaihi Rajioun:SUPREME Mufti wa Uganda  ambaye pia ni Murshid wa Twariqatus-Shaadhuliy nchini Uganda, Sidi. Sheikh Zubeir Kayongo amefariki dunia katika hospitali ya Agha Khan Jijini , Dar es salaam jana alikokuwa amelazwa muda mfupi akiwa  njiani kuelekeya Kilwa Pande kuhudhuria HAUL na Ziyarah  ya kutimiza  miaka 100 ya Sidi.Sheikh Muhammad Al- Maaruf As-Shadhuly(QAS).
Marehemu aliwahi kuhudhuria Ziyarah ya Mawlid  Jijini  Unguja Mfunguo 6. na Twariqatul Shaadhuliya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mufti Simba afariki dunia

simba 2NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SHEIKH Mkuu wa Tanzania, Mufti Shaaban Issa bin Simba (78), amefariki dunia jana asubuhi katika Hosptali ya TMJ, jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho cha Mufti Simba ni pigo kubwa kwa Waislamu na taifa kwa ujumla.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, alisema kifo cha kiongozi huyo kimetokea huku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya TMJ.
Alisema Mufti Simba alikuwa akiugua kwa muda mrefu maradhi ya...

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MUFTI ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA

Mufti Issa Bin Shaaban Simba enzi za uhai wake. Mufti Issa Bin Shaaban Simba akiwa na…

 

10 years ago

Vijimambo

Inna lillahi wa Inna ilayhi raaji'oun.


Kifo cha ndugu yetu kilichotokea Milton Keynes, UK, bado ndugu zetuhawajafikia malengo ya kufikisha kima kinachotakiwa kukidhi haja zoteza maziko na malengo mengine ya kijamii, ya waliomzunguka.
Maziko yanatarajiwa Alhamis ya tarehe 04 June 2015, baada ya kupatamwili kwenye majira ya adhuhuri kutokana na wahusika, in shaa allah.
Kama kuna chochote utakachojaaliwa kutoa kama ni mchango wako, tumakwenye akaunti ya benki ifuatayo:
Bank: NatwestName: Muhammad M. Y.Account no: 36555673Sort code:...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZ: MUFTI SHEKH MKUU WA TANZANIA, ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA

MUFTI  Shekh  Mkuu wa Tanzania, Issa Bin Shaaban Simba, enzi za uhai wake.
MUFTI  Shekh  Mkuu wa Tanzania, Issa Bin Shaaban Simba amefariki dunia leo katika hospitali ya TMJ jijini Dar es Salaam.

MUNGU ILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAEREHEMU.

Endelea kufuatilia taarifa zaidi.

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA LEO ASUBUHI

Aliyekuwa Sheikh mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Bin Shabani Simba enzi za uhai wake
Habari zilizotufikia hivi punde zinaarifu kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki dunia.

Akidhibitisha kutokea kwa kifo hicho Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhadi Mussa Salim amesema Mufti amefikwa na umauti hii leo asubuhi."Ni kweli Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa Simba amefariki hii leo asubuhi kwa maradhi ya sukari na presha," alisema kwa ufupi Sheikh...

 

9 years ago

New Vision

Sheik Ndirangwa is new Supreme Mufti


New Vision
Sheik Ndirangwa is new Supreme Mufti
New Vision
The Kibuli based Muslim faction has named Sheik Siliman Kasule Ndirangwa the new Supreme Mufti, replacing Sheik Zubair Kayongo who passed on this year in April at Agha Khan Hospital in Tanzania. Ndirangwa was confirmed on Wednesday by the ...
Sheikh Sulaiman Kasule Ndirangwa – New Supreme MuftiKFM

all 4

 

9 years ago

NTV Uganda

Sheikh Ndirangwa appointed as Kibuli Supreme Mufti


New Vision
Sheikh Ndirangwa appointed as Kibuli Supreme Mufti
NTV Uganda
Ndirangwa was named after a meeting of a 15-member council of eminent sheikhs headed by Sheikh Obedi Kamulegeya. An error occurred. Try watching this video on www.youtube.com, or enable JavaScript if it is disabled in your browser. Sheikh Siliman ...
Sheik Ndirangwa is new Supreme MuftiNew Vision
Sheikh Sulaiman Kasule Ndirangwa – New Supreme MuftiKFM

all 6

 

10 years ago

NTV Uganda

Hundreds say goodbye to Supreme Mufti Sheikh Kayongo


spyghana.com
Hundreds say goodbye to Supreme Mufti Sheikh Kayongo
NTV Uganda
Many of the Muslim leaders hailed the Sheikh as a great man of God who always promoted unity among the muslim factions in Kibuli mosque. Hundreds of mourners thronged Lwamata village in Kiboga district to bury the Kibuli-based Supreme Mufti Sheikh ...
Supreme Mufti Kayongo Dies At 81The Observer
Supreme Mufti Sheikh Zubair Kayongo DiesIndependent
Sheik Zubair Kayongo Passed Awayspyghana.com
New Vision
all 20

 

10 years ago

Mwananchi

Mufti Simba afariki kuzikwa Shinyanga

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti, Issa Shaaban Bin Simba amefariki dunia jana katika Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na shinikizo la damu na kisukari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani