Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘It’s risky to sign for Simba, Yanga’

Soccer giants Simba and Young Africans have been accused of frustrating players they sign from other Premier League teams.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

TheCitizen

Simba sign three foreign players

Mainland giants Simba SC have reinforced their squad with three foreign players ahead of this season’s Mainland Premier League, it has been revealed.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Simba, Azam FC sign Ugandans

>Mainland giants Simba are set to make a decision concerning Ugandan Simon Sserenkuma who has been at the club for trials in the past few days.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba SC go for fresh blood, sign Stars defender

Simba SC have kicked off their transfer season with the signing of a budding national team, Taifa Stars, defender Joram Mgeveke.

 

9 years ago

TheCitizen

Yanga: Myanmar outfit ready to sign Coutinho

Young Africans have revealed that their Brazilian midfielder Andrey Coutinho will be sold to an undisclosed team in Mynmar.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Coastal Union beat Simba SC to sign Gor ace

>Coastal Union have beaten Simba SC for the services of former Gor Mahia midfielder Rama Salim.

 

10 years ago

Vijimambo

AUNGURUMAPO SIMBA MCHEZA NANI DAKIKA 90 SIMBA 1 YANGA 0

 Timu ya Yanga imeendeleza uteja tena leo katika mchezo wa wahasimu hao uliochezwa uwanja wa taifa leo baada ya timu ya Simba kuibamiza Yanga goli 1 bila majibu goli lililofungwa na Emmanuel Okwi mchezaji aliyeikimbia timu hiyo yenye masikani yake Jangwani katika dakika ya 52. Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika mpambano.Mchezaji Simon Msuva akijaribu kufanya mashambulizi goli mwa Simba shuti lake halikuweza kuleta madhara yeyote mpaka dakika 90 Simba 1 na Yanga 0. Picha kwa hisani ya...

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

Yanga ni zaidi ya Mcharo Simba wametepweta baada ya kukubali goli moja kila kipindi alikuwa Tambwe aliandika bao la kwanza dk ya 44 ya kipindi cha kwanza, ikumbukwe kuwa Tambwe alikuwa kipenzi cha wana msimbazi hao na wakampotezea na kunyakuliwa na Yanga. Kipindi cha pili Busungu aliesajiliwa kutoka kwa wafunga buti wa mgambo aliiandikia Yanga bao la 2 dk ya 79. Yanga sasa imefuta uteja uliodumu zaidi ya miaka 5 kila wanavyo kutana na Simbanilikuwa ni kilio tu cha kusanga meno safari hii ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani