Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ivory Coast yatoka sare na Guinea

Ivory Coast imepata sare ya moja kwa moja dhidi ya Guinea katika kombe la mataifa ya Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Cameroon yatoka sare na Guinea

Cameroon na Guinea zilitoka sare ya 1-1 na kuzifanya timu zote katika kundi la D kuwa sawa kwa pointi.

 

10 years ago

BBCSwahili

E Guinea yatoka sare na Burkina Fasso

Burkina Fasso wamepiga chuma cha goli mara mbili na hivyobasi kuzuiwa na Equitorial Guinea katika sare ya kwanza ya 0-0

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA COAST UNION,YATOKA SARE YA BAO 2-2

Mshambuliaji wa Simba, Amis Tambwe akiifungia timu yake bao la pili wakati timu hiyo ilipopambana na Coast Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhan Singano 'Messi' akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Coast Union, Abdallah Mfuko.Mshambuliaji wa Simba, Haruna Chanongo akiruka daruga la beki wa Coast Union. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast v Guinea

Guinea captain Kamil Zayatte has a leg injury and will miss his side's Africa Cup of Nations match against Ivory Coast on Tuesday.

 

10 years ago

BBC

Ivory Coast 1-1 Guinea

Ivory Coast fight back to draw with Guinea, despite having Gervinho sent off in their Africa Cup of Nations opener.

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United yatoka sare

Bingwa wa zamani wa ligi ya Uingereza Manchester United kwa mara nyingine wamezuiliwa na timu ya Stoke City

 

11 years ago

BBCSwahili

Japan yatoka sare na Greece

Japan ilishindwa kuifunga Greece liyokuw na wachezaji 10 uwanjani

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yatoka sare na Southampton

Chelsea imeendeleza uongozi wake katika ligi kuu ya Uingereza baada ya kupata droo ya 1-1 dhidi ya Southampton

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani