Jamii inawachuliaje wanawake wanasiasa?
Mjadala wa wanawake 100 ulifanyika Dodoma kati kati mwa Tanzania, kwa mjadala kuhusu wanawake na siasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Siku ya Wanawake Duniani: Jinsi wanawake wa vijijini wanavyoweza kubadilisha jamii kiuchumi wakiwezeshwa
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
Redio jamii zisikubali kutumiwa na wanasiasa kwa manufaa binafsi
Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mtungi kuzungumza na washiriki 31 wa mtandao wa redio jamii Tanzania (COMNETA) unaotekeleza mradi wa demokrasia na amani (DEP) kuelekea uchaguzi mkuu 2015 wanaohudhuria warsha ya siku nne inayoendelea mjini Dodoma.
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini...
10 years ago
Habarileo18 Oct
Jaji Mutungi: Redio jamii msikubali kutumiwa ‘kijinga’ na wanasiasa
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amezitaka redio za jamii kutokubali kutumiwa na vyama vya siasa vinavyotumia unyonge wa Watanzania kiuchumi kujinufaisha kisiasa.
9 years ago
Mwananchi13 Dec
‘Wanawake wanasiasa wajengewe uwezo’
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0043.jpg)
REDIO JAMII ZISIKUBALI KUTUMIWA NA WANASIASA KWA MANUFAA BINAFSI
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Ukatili wa kijinsia kwa wanawake wanasiasa
TUNAPOZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, tunazungumzia somo pana sana. Hasa wakati huu tunapoandika Katiba yetu Mpya, ni lazima kuliangalia somo hili kwa umakini mkubwa. Jamii nzima inahusika na kuguswa na ukatili...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, akutana na Viongozi wa Mtandao wa Ulingo Tanzania (Umoja wa Wanawake Wanasiasa)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Wanawake Wanasiasa kutoka Vyama mbalimbali vya Siasa Tanzania walio katika Mtandao wa Ulingo, wakati alipokutana nao katika kikao kilichoandaliwa na Wanaulingo hao maalum kwa ajili ya kumpongeza kilichofanyika kwenye Ukumbi wa BOT jijini Dar es Salaam, Nov 26, 2015. (Picha na OMR).
Baadhi ya Wanawake Wanaulingo wakimsikiliza Mhe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
‘Wanawake utandawazi usiiharibu jamii’
WANAWAKE wametakiwa kutotumia utandawazi kuwa kigezo cha mmomonyoko wa maadili katika jamii. Haya yalisemwa jana na Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Dk. Letisia Warioba, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Wanawake wataka huduma za jamii zipewe kipaumbele
BUNGE Maalumu la Katiba limeanza mjini Dodoma, ambapo wajumbe watajadili hoja mbalimbali. Kama zitapita, zitarudishwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura ya maoni na kuwa sheria za nchi (Katiba)....