Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JANE MAGIGITA: Alipigania wanawake kumiliki ardhi

WIKI hii Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi isiyo ya kiserikali ya Equality for Growth (EfG), Jane Magigita, ametunukiwa na Ubalozi wa Marekani nchini Tuzo ya Dk. Martin Luther King. Tuzo hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

IPPmedia

Jane Magigita's struggle for women's rights not in vain


IPPmedia
Jane Magigita's struggle for women's rights not in vain
IPPmedia
Anyone monitoring discussions in gender-conscious forums around the country today will not fail to notice how organisers go out of their way to ensure that the delicate balance is maintained. Indeed it was one of the highlights of the discussion of the rules ...

 

11 years ago

Michuzi

The 2014 Martin Luther King Drum Major for Justice Award goes to Mrs. Jane Magigita Milyango

 The 2014 Martin Luther King Drum Major for Justice Award will be given to the Executive Director of Equality for Growth (EfG), Mrs. Jane Magigita Milyango, in recognition of her tireless efforts advocating for women’s rights.  According to a media advisory released today, the United States Chargé d’Affaires, a.i. Virginia Blaser will present the award to Mrs  Milyango on Tuesday, March 4, 2014 at the U.S. Embassy  at Msasani, along Old Bagamoyo  Road in Dar es Salaam.


Officials  from...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zuma: hakuna ruhusa mgeni kumiliki ardhi

Rais Zuma ataka pendekeza kuwa wageni wasiruhusiwe kumiliki ardhi Afrika Kusini ili Waafrika wapate nafasi

 

11 years ago

Tanzania Daima

CELG yajizatiti kutoa elimu ya kumiliki ardhi

UKOSEFU wa elimu ya sheria ya ardhi na haki ya kumiliki ni moja ya changamoto inayowakabili Watanzania wengi, hali inayoibua migogoro ya mara kwa mara. Hali hiyo pia inachangiwa kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kijiji cha Gongoni wilayani Kilosa waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, wanawake wapata hati miliki za ardhi

 Angelina Mziray Katibu Mkuu wa Women and Poverty alleviation in Tanzania  , Akiwakaribisha wageni Mbalimbali waliofika katika Sherehe za Kuazimisha Siku ya Wanawake Duniani ambapo wao wameadhimisha mapema,Katika Ufunguzi Alisema kuwa Shirika lisilo ka Kiserikali la Waupata wakishirikiana na OXFAM wamesaidia Kijiji hicho katika kuleta maendeleo mbalimbali Tangu mwaka 2006 ikiwa ni pamoja na Kilimo cha mpunga, Matumizi Bora ya Ardhi, Ambapo Pia aliwashukuru OXFAM kwa kuleta ufugaji bora wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake washauriwa matumizi mazuri ya ardhi

SHIRIKA lisilo la Kiserikali la Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow limewataka wanawake kujali umuhimu wa utumiaji ardhi, ili kuongeza uzalishaji kwa faida yao binafsi na jamii kwa ujumla.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake watakiwa kuwekeza kwenye ardhi

WANAWAKE wajasiriamali mkoani Tanga wametakiwa kuwekeza kwenye ardhi ili kujikwamua kiuchumi kwani kilimo ni mkombozi katika kuinua uchumi. Rai hiyo imetolewa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Luteni mstaafu...

 

11 years ago

Milyango Gets Martin Luther Award

Magigita


Daily News
Magigita-Milyango gets Martin Luther award
Daily News
THE Embassy of United States of America in Tanzania has conferred Ms Jane Magigita- Milyango the 2014 Dr Martin Luther King Jr Drum Major for Justice Award in recognition of her efforts in advocating women's legal rights. At a colourful ceremony held at ...

 

10 years ago

StarTV

Tanzania bado ina idadi ndogo ya wanawake wamiliki ardhi

Tafiti kuhusu masuala ya  ardhi  zimeonyesha kuwa Tanzania bado  ina idadi kubwa ya wanawake ambao hawana uelewa kuhusu umuhimu wa kumiliki ardhi  na matumizi yake kiuchumi kutokana na uwepo wa mfumo dume katika maeneo mengi nchini.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, asilimia 51 ya idadi ya wananchi ni wanawake, asilimia 19 wakiwa ndiyo wanaomiliki ardhi na kuitumia katika masuala ya maendeleo.

Pamoja na uwepo wa Sheria ya Ardhi na Taasisi mbalimbali zinazohusu matumizi ya ardhi kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani