Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB ADONDOKA AKIMUELEZEA MAREHEMU KUAMBIANA LEADERS

JB akiwa na simanzi nzito wakati akimuelezea Kuambiana. JB akianguka chini baada ya kushindwa kuvumilia. Msanii Jacob Steven ‘JB’ amedondoka katika Viwanja vya Leaders wakati akimuelezea msanii mwenzake marehemu Adam Kuambiana. Tukio hilo limetokea wakati wa zoezi la kuaga mwili wa marehemu kabla ya…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMIA WAMUAGA MAREHEMU ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS

Jeneza lenye mwili wa marehemu Adam Kuambiana likiwa mbele ya waombolezaji. Shilole (kulia) akiwa na baadhi ya waombolezaji.…

 

11 years ago

Bongo Movies

11 years ago

Michuzi

SAFARI YA MWISHO YA MUIGIZAJI WA FILAMU,MAREHEMU ADAM KUAMBIANA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB HIVI SASA

 Shughuli ya kuaga mwili wa aliekuwa muigizaji na muongozaji wa filamu hapa nchini,Marehemu Adam Kuambiana inaendelea hivi sasa kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam.Marehemu kuambiana anatarajiwa kuzikwa leo hii kwenye Makaburi ya Kinondoni hapa hapa jijini Dar.




BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

CloudsFM

MAREHEMU KUAMBIANA ALISHIRIKI KUANDIKA SCRIPT YA VIDEO YA MDODOMDOGO YA DIAMOND

Imefahamika kuwa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie,Marehemu Adam Philip Kuambiana alishiriki katika kuandika script ya video ya ‘Mdogomdogo’ ya Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz. Diamond anafunguka jinsi walivyokutana na kufanya kazi hiyo na marehemu mpaka akaenda kuishuti video hiyo nchini South Africa chini ya kampuni ya Godfather.

 

9 years ago

Bongo Movies

JB Afunguka Haya Kuhusu Marehemu Adam Kuambiana na Ujio wa Filamu Mpya

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram staa wa Bongo Movies , Jacob Stephen ‘JB’ ameendelea kusifia kipaji cha sanaa alichokuwanacho marehenu Adam Kuambiana ambaye atakuwepo kwenye filamu mpya itakayotoka wiki ijayo inayokwenda kwa jina la mahabusi aliyoicheza kabla ya kufariki dunia.

“Moja kati ya waigizaji ambao sitaacha kuwasifia ingawa tayari ametangulia mbele za haki....Adam Kuambiana....ana sauti, ana hisia na anajua....Yeye pamoja na dada mmoja anayeitwa Bridgete. aliyewahi...

 

11 years ago

GPL

MATUKIO NYUMBANI KWA MAREHEMU KUAMBIANA ‘BUNJU B’ DAR

Kaka wa marehemu Adamu aitwaye Hassani Kuambiana. Rafiki na meneja wa Kuambiana, aliyejulikana kwa jina moja la Mushi akitoa shukrani kwa niaba ya familia.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MSANII KUAMBIANA WAAGWA VIWANJA VYA LEADERS CLUB

Mwili wa marehemu ukiwasili kwenye viwanja vya Leaders tayari kwa kuagwa Jeneza likiwa sehemu maalum ya kuagia (PICHA NA…

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA KUAGA MWILI WA ADAM KUAMBIANA VIWANJA VYA LEADERS

Mwili wa marehemu Adam Kuambiana utawekwa mahali hapa. Waombolezaji watakaa mahali hapa.…

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TANZANIA MOVIE TALENTS KUWAKILISHWA NA JAJI SINGLE MTAMBALIKE KATIKA MAZISHI YA MAREHEMU ADAM PHILIP KUAMBIANA

Uongozi wa Kampuni ya Proin Promotions Limited na Timu nzima ya Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ni Waandaaji na waendeshaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents tunapenda kutoa pole zetu za dhati kwa Wazazi wa Marehemu Adam P.Kuambia, Ndugu wa Marehemu , Jamaa, Marafiki kwa ujumla na Rais wa Klabu ya Bongo Movie, Ndugu Steve Nyerere kwa kuondokewa na Mmoja kati ya Wasanii Mahiri kabisa katika tasnia hii ya filamu nchini vilevile tunatoa Pole zetu kwa Wasanii wa sanaa ya Maigizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani