JE WAJUA SHERIA INARUHUSU KUTENGANA BILA TALAKA ?.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hbyEQkGQnZg/VhwoGJx9P9I/AAAAAAAH_kg/wjBvkANGBw0/s72-c/black-couple-arguing-pf3-378x309.jpg)
KUSOMA ZAIDI links goes to sheriayakub.blogspot.comNa Bashir Yakub.
Kawaida wanandoa wengi wanapoingia katika migogoro moja ya jambo wanalokimbilia kama jawabu la mgogoro ni talaka.
Kwa misingi ya ndoa za kiislamu talaka huruhusiwa tofauti na misingi ya ndoa za kikiristo ambazo talaka huwa haziruhusiwi.
Hata hivyo hata kama ndoa ni ya kikristo ambayo hairuhusu talaka linapokuja suala la mahakama basi hata ndoa hizo nazo ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mk4iI9wZyNM/VT1eO8hlhsI/AAAAAAAHTcs/QUU-f2TIgZQ/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: SHERIA INARUHUSU KUJIKINGA HADI KUUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mk4iI9wZyNM/VT1eO8hlhsI/AAAAAAAHTcs/QUU-f2TIgZQ/s1600/1.1774256.jpg)
Kifungu cha 18 cha Sheria ya Kanuni za adhabu sura ya 16 kimeeleza hatua ya mtu kujikinga mwenyewe, kumkinga mwenzake , mali yake mwenyewe na mali ya mwenzake. Kujikinga( defence) maana yake ni kujilinda au kujitetea inapokwa imekutokea dharula ya kuvamiwa na mtu au watu waovu. Uovu ni uovu si lazima awe mwizi . Hata mtu asiyekuwa mwizi lakini amekuvamia kwa nia ovu iwe nyumbani, kazini au sehemu nyingine...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nNbTph89s2Y/VWOVtCavNAI/AAAAAAAHZyI/bfOEPT5A2tw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA SHERIA INAKURUHUSU RAIA KUKATAA KUKAMATWA NA ASKARI TARATIBU ZINAPOKIUKWA ?
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNbTph89s2Y/VWOVtCavNAI/AAAAAAAHZyI/bfOEPT5A2tw/s320/law_5.jpg)
Sio siri askari wamekuwa wakitumia nguvu na ubabe mno katika kuwakamata raia. Hata pale pasipo na haja yoyote ya kutumia nguvu bado wao wamekuwa wakilazimisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KISHERIA MATUNZO KWA MWANAMKE HUENDELEA KUTOLEWA HATA BAADA YA KUTENGANA NAYE
![](http://3.bp.blogspot.com/-6JoCghYlMR0/VTnwm0MNFvI/AAAAAAAHS1M/gZudUDChCxM/s1600/1.1774256.jpg)
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Papa Francis kurahisisha sheria ya talaka
Kiongozi wa kanisa katoliki anatarajiwa kutangaza sheria mpya zitakazowaruhusu wakatoliki kutoa talaka na kuoana upya
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jKNlzv7p3YI/VOQ9mYJBI4I/AAAAAAAHEPg/qFMaNCWe8LQ/s72-c/1.jpg)
MAKALA SHERIA: JE UMECHOSHWA NA UNAHITAJI TALAKA? FUATA HATUA HIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jKNlzv7p3YI/VOQ9mYJBI4I/AAAAAAAHEPg/qFMaNCWe8LQ/s1600/1.jpg)
Kuomba talaka si dhambi. Kama lingekuwa dhambi sheria isingeruhusu jambo hilo kwakuwa si kawaida ya sheria kuhamasisha madhambi. Ni kwasababu hii nasema kuwa atakayeona amebanwa basi aombe talaka. Si kosa hata kidogo kufanya hivyo isipokuwa ndivyo tunavyoelekezwa na sheria zetu tunazozipenda na kuziheshimu sana.
1. KUVUNJIKA KWA NDOA.
Kuvunjika kwa ndoa kwa mujibu wa sheria zetu za Tanzania kuna mazingira mengi. Baadhi ya mazingira hayo ni yale yaliyoorodheshwa kifungu...
10 years ago
Michuzi29 Dec
MAKALA SHERIA: UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
Na Bashir YakubKatika adhima ya ya mwendelezo wa makala za namna ya kuendesha kampuni leo tena tuangalie kuhusu hisa na hasa namna ya kuhamisha hisa.
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AMlnyDtXb_s/VZmGQddu5II/AAAAAAAHnLo/Uv488u-7FeQ/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA MUDA WA HATI YA NYUMBA UKIISHA WAWEZA KUNYANGANYWA ARDHI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMlnyDtXb_s/VZmGQddu5II/AAAAAAAHnLo/Uv488u-7FeQ/s1600/download.jpg)
Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana. Kama ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano leseni za kuendeshea vipando...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JfVNsmuxaGw/Uwp1L3igGrI/AAAAAAAFPLI/OgF3oLDRMAU/s72-c/IMG_1823.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania