Je utampigia kura Yaya Toure?
Ni mchezaji maarufu wa Manchester City na ameteuliwa kuwania tuzo hii ya mwanakandanda bora zaidi barani Afrika Jee anatanawiri?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78722000/jpg/_78722308_yayatoureprofile.jpg)
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/14ADF/production/_86630748_yayatoure_getty.jpg)
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''
Manuel Pelegrini ana matumaini kwamba Manchester City inaweza kupambana ili kushinda taji la ligi kuu nchini Uingereza bila yaya toure
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Yaya Toure bingwa wa Afrika
Mchezaji wa Manchester City ambaye pia hucheza nafasi ya kiungo cha kati katika timu ya Ivory Coast, Yaya Toure ndiye mwanasoka bora zaidi wa mwaka barani Afrika
10 years ago
CloudsFM09 Jan
Yaya Toure mwanasoka bora Africa
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa...
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/434A/production/_87462271_gettyimages-469586484.jpg)
Yaya Toure leads tributes to Gohouri
Manchester City's Yaya Toure leads the tributes to compatriot and former Ivory Coast defender Steve Gohouri who died at the age of 34.
9 years ago
BBCSwahili02 Nov
Yaya Toure kupigania tuzo ya CAF
Kiungo wa kati wa Ivory Coast Yaya Toure yumo miongoni mwa wachezaji 10 walioteuliwa kushindania tuzo ya mchezaji bora wa CAF mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Mancity kumtema Yaya Toure na wengine
Kilabu ya Manchester City watamuuza Yaya Toure msimu huu katika mpango unaolenga kuwauza wachezaji wengine wa kilabu hiyo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania