Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je washindi wa London Marathon walitumia dawa ?

Washindi mara saba wa mbio za marathon za London walikuwa na matokeo ya kutatanisha baada ya damu yao kupigwa msasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya watamba London Marathon

Wakenya walishinda nafasi za kwanza mbili katika mbio za wanaume na zile za wanawake huko London.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: London Marathon's fantastic four

Meet the women deemed Kenya's 'fantastic four,' Edna Kiplagat, Florence Kiplagat, Mary Keitany and Priscah Jeptoo.

 

11 years ago

BBC

Farah eighth in London Marathon

Kenyan athletes come first and second at the London marathon in both men's and women's races, with Mo Farah eight.

 

11 years ago

Dewji Blog

Alphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu akiongea machache wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi zawadi zao. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya mkononi ya TIGO, Brian Kalokola.

Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio (kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40

Zawadi za fedha taslimu kwa washindi wa Kilimanjaro Marathon 2014 zimeongezwa hadi zaidi ya shilingi milioni 40 na kuifanya mbio hii kuwa kati ya m io kubwa zaidi barani Afrika.
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Keitany aapa kushinda London Marathon

Bingwa wa London Marathon Mary Keitany ananuia kuibuka mshindi mara ya 3 katika mashindano hayo ya jumapili mjini London

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya,Ethiopia zang'ara London marathon

Eliud Kipchoge mwanariadha kutoka Kenya ameibuka kuwa bingwa wa mbio za London Marathon mwaka huu muda mchache uliopita.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015

tigo 18

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro.  Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.

tigo 2

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani