Je washindi wa London Marathon walitumia dawa ?
Washindi mara saba wa mbio za marathon za London walikuwa na matokeo ya kutatanisha baada ya damu yao kupigwa msasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Apr
Wakenya watamba London Marathon
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82468000/png/_82468652_mmmarathonpromos.png)
VIDEO: London Marathon's fantastic four
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74210000/jpg/_74210844_74209825.jpg)
Farah eighth in London Marathon
11 years ago
Dewji Blog21 Apr
Alphoce Felix na Jackline Sakilu washindi wa Tigo Ngorongoro Marathon
![](http://1.bp.blogspot.com/--AvMCeMuqK8/U1SZ00-v0BI/AAAAAAAA5Ks/9oLepUXzUgU/s1600/NGOR+3.jpg)
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio ambaye aliyemwakilisha mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio za Tigo Ngorongoro zilizofanyika jana Aprili 19, 2014 kuanzia Mbuga ya Ngorongoro na kuishia mjini Karatu akiongea machache wakati wa hafla ya kuwakabidhi washindi zawadi zao. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya mkononi ya TIGO, Brian Kalokola.
![](http://4.bp.blogspot.com/-LoWsfvDgp_M/U1SZc1Is20I/AAAAAAAA5IY/UgK-RV9DK_0/s1600/NGOR+1.jpg)
Kaimu Mhifadhi wa Mbuga ya Ngorongoro, Bw. Amio Amio (kushoto) na Mkurugenzi wa Kanda wa Kampuni ya simu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s72-c/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Washindi Kilimanjaro Marathon 2014 kujipatia zaidi ya shilingi milioni 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-tiDXtPvjFrE/Uvpwl9Sf8AI/AAAAAAAFMbc/uB_b3M2RGNE/s1600/Kilimanjaro-Marathon-2014.jpg)
Waandaaji wa mbio hizo wametangaza kuwa washindi wa wa Kilimanjaro Marathon 2014 watajipatia zaidi ya shilingi milioni 40 fedha taslimu kama zawadi.
John Addison, Mkurugenzi Mkuu wa Wild Frontiers, waandaaji wa mbio hizo alisema katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana kuwa mbali na washindi kujinyakulia...
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Keitany aapa kushinda London Marathon
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Kenya,Ethiopia zang'ara London marathon
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015
Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro. Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jfhY-uMyUa4/Xuw2fWWelTI/AAAAAAALug8/HUQzAHpHp5EdN_OqNkSE8C8FWpjnK3h3QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.11.44%2BPM.jpeg)
SERIKALI YATANGAZA WASHINDI WA MAKISATU, WASHINDI WA KWANZA KUJINYAKULIA KITITA CHA SH MILIONI TANO
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imetangaza washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu (MAKISATU) kwa Mwaka 2020 ambayo kilele chake kilifanyika Machi 16-18 mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma na mshindi wa kwanza kujinyakulia kitita cha Sh Milioni Tano.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo wakati wa kutangaza washindi hao kutoka kada mbalimbali pamoja na zawadi watakazopata, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako...