JESHI LA MAGEREZA KUZINDUA "DUTY FREE SHOP" - RUANDA, MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-mRoB5NrCPrg/UvnlcJ9eHDI/AAAAAAAFMU4/pjTY_Wq5rbU/s72-c/unnamed+(83).jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ndg. Mbarak Abdulwakil anatarajia kuzindua rasmi Magereza "Duty Free Shop" - Ruanda, Mbeya kesho saa 3:30 asbuhi Februari 12, 2014 katika Viwanja vya Ofisi ya Magereza Mkoa wa Mbeya ambapo shughuli hiyo itashuhudiwa na Viongozi mbalimbali toka Ofisi za Serikali, Binafsi pamoja na Wananchi wanaoishi jirani na maeneo ya Gereza Kuu Ruanda, Mbeya.
Mpango huu wa ujenzi wa Magereza "Duty Free Shops" katika Mikoa ya Kimagereza Kiutawala unatekelezwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA UYUI TABORA
10 years ago
GPLKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA UYUI TABORA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-avqceKuLQ/VfxmikdRVDI/AAAAAAAD7uE/ZRZDtqdYJ5U/s72-c/image.jpeg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" MAGEREZA MKOANI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-avqceKuLQ/VfxmikdRVDI/AAAAAAAD7uE/ZRZDtqdYJ5U/s640/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J84x5Ex68YI/VfxmjNdcaFI/AAAAAAAD7uI/hj-_0h-vU3g/s640/image_1.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BGnbXCN5EQg/VfxmjdGNKdI/AAAAAAAD7uM/49-mLstXFp8/s640/image_2.jpeg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s72-c/image_3.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA "MAGEREZA DUTY FREE SHOP" PAMOJA NA KIWANDA CHA KUTENGENEZA MABAKULI YA WAFUNGWA GEREZA UKONGA, JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-fDyOt12On5Y/U6dKTNkm56I/AAAAAAAFsVg/1-Ddsi_Ddno/s1600/image_3.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tJCESIVK0Xo/VQLMwWd7jYI/AAAAAAAHKEQ/Z5c8Gfcwyxk/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA APONGEZWA KWA KUFUFUA KIWANDA CHA SABUNI GEREZA KUU RUANDA, MBEYA
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja amepongezwa kwa kukifufua Kiwanda cha utengenezaji Sabuni za aina mbalimbali Gereza Kuu Ruanda, Mbeya.
Pongezi hizo zimetolewa na Maofisa na Askari wa Magereza Mkoani Mbeya kutokana na kukiwezesha Kiwanda hicho vifaa na malighafi za utengenezaji sabuni hivyo kukifanya Kiwanda hicho kizalishe sabuni za kutosha kwa Wafungwa waliopo Magerezani Tanzania Bara.
"Tunampongeza sana Kamishna Jenerali Minja hususani kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JTnSCFgs6XY/VZkUnHxZk5I/AAAAAAAHnFU/7GD3xzszCZo/s72-c/image.jpeg)
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AZINDUA RASMI HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" GEREZA KUU LILUNGU, MKOANI MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JTnSCFgs6XY/VZkUnHxZk5I/AAAAAAAHnFU/7GD3xzszCZo/s640/image.jpeg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. MATHIAS CHIKAWE AZINDUA RASMI HUDUMA ZA "DUTY FREE SHOP" GEREZA KUU LILUNGU, MKOANI MTWARA
Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza nchini wametakiwa kutumia fursa ya maduka yenye bidhaa nafuu "Duty Free Shop" zilizofunguliwa katika Magereza mbalimbali ili kupata vifaa vya ujenzi na kujenga makazi yaliyobora na ya kudumu kabla ya kustaafu Utumishi wao Jeshini.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe alipokuwa akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Magereza "Duty Free Shop" ya Gereza Kuu Lilungu, Mkoani Mtwara.
Amesema kuwa...
10 years ago
MichuziSHEREHE ZA KUFUNGA MAFUNZO YA AWALI YA JESHI LA MAGEREZA KOZI NA. 27 CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA ZAFANI, JIJINI MBEYA