Jimix na SMS Bure toka Vodacom
![](http://2.bp.blogspot.com/-qDkZrxXGfkg/VFsoM3Pu64I/AAAAAAAGvsQ/Y9Zv9Ra0XJA/s72-c/PR%2Bpost.png)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Wanafunzi wa vyuo kufurahia huduma ya kupigiana simu bure toka TIGO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yIRAODsxTEzIz1-jV*NMnVoZ*jOTEco*pgd1147PsMcbviMH0za3VNXHysOLj7GVDQ2xxJnA73-ibcxhNxerr-3pgT38KxrQ/001.KTAPPSTAR.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM KUPERUZI INTANETI BURE
Dar es Salaam, May 20, 2015: Zaidi ya watumiaji milioni 13 wa mtandao wa simu za mkononi kuanzia leo wataweza kuperuzi internet inayofikia MB100 kwa masaa mawili bure kuanzia saa 12 alfajiri hadi saa 2 asubuhi kutokana na ofa inayojulikana kama "Good Morning Tanzania" inayotolewa na Vodacom Tanzania. Promosheni hii imeanzishwa kutokana na kuonenakana kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi ya data katika kupata taarifa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Vodacom Tanzania yawezesha wanafunzi kuendelea na masomo kupitia jukwaa la kidijitali bure.
![](https://1.bp.blogspot.com/-T81nVdbzFJ0/Xsy9jC3CsBI/AAAAAAAEHUQ/OnY9Qtf5T4cFo1geYziTMu_DFp8wtUnJQCLcBGAsYHQ/s1600/download.png)
Wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini kunufaika na utoaji wa elimu bure kupitia jukwaa la kidijitali.Shule za msingi na sekondari kunufaika na upatikanaji bure wa maudhui ya elimu kupitia jukwaa la ‘Vodacom Instant Schools portal’.Kampuni inayoongoza kidijitali nchini ya Vodacom Tanzania PLC inafanya kazi na shule pamoja na taasisi mbalimbali za elimu nchini kutoa huduma ya mafunzo ya dijitali bila gharama yoyote. Taasisi zilizonufaika na huduma hii ni pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HyZaQLJXKco/VVysFguTX8I/AAAAAAAHYkM/TXuFMr5OnB8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Wateja wote wa Vodacom Tanzania kuperuzi intaneti bure kwa masaa 2 kila siku asubuhi
Zaidi ya watumiaji milioni 13 wa mtandao wa simu za mkononi kuanzia leo wataweza kuperuzi internet inayofikia MB100 kwa masaa mawili bure kuanzia saa 12 alfajiri hadi saa 2 asubuhi kutokana na ofa inayojulikana kama "Good Morning Tanzania" inayotolewa na Vodacom Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-HyZaQLJXKco/VVysFguTX8I/AAAAAAAHYkM/TXuFMr5OnB8/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Promosheni hii imeanzishwa kutokana na kuonenakana kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi ya data katika kupata taarifa kupitia mtandao wa intaneti.Vodacom Tanzania siku zote imekuwa mstari wa mbele kubuni huduma...
![](http://1.bp.blogspot.com/-HyZaQLJXKco/VVysFguTX8I/AAAAAAAHYkM/TXuFMr5OnB8/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Promosheni hii imeanzishwa kutokana na kuonenakana kuwepo kwa mahitaji makubwa ya matumizi ya data katika kupata taarifa kupitia mtandao wa intaneti.Vodacom Tanzania siku zote imekuwa mstari wa mbele kubuni huduma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r4Jiq99KEfE/Va5hness1BI/AAAAAAAHq4c/vjaQcj3Smhk/s72-c/unnamed%2B%252898%2529.jpg)
SHULE YA MSINGI MLIMANI JIJINI DAR YAFAIDIKA NA MSAADA WA KOMPYUTA 20 TOKA VODACOM FOUNDATION
![](http://4.bp.blogspot.com/-r4Jiq99KEfE/Va5hness1BI/AAAAAAAHq4c/vjaQcj3Smhk/s640/unnamed%2B%252898%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jPjlnTj8S4k/Va5hneh6yEI/AAAAAAAHq4Y/tK0ha_gGYw8/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJdUjJPjpNmV*4daMWiLOCakODS8c2r8laH9OM7vK-NxDnDIoDhOeN0niywtCnj0I-PoZcCpZEhsaJPpb49CNhB/001.MTAKUJA.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI MTAKUJA YA KUNDUCHI BEACH, DAR, YAPOKEA MSAADA WA KOMPYUTA TOKA VODACOM FOUNDATION
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mtakuja iliyopo Kunduchi beach jijini Dar es Salaam, wakishusha vifaa vya kompyuta mpakato kwa kushirikiana na maofisa wa Vodacom Tanzania, Jumla ya kompyuta(25) pamoja na  vifaa vingine vimetole msaada na Vodacom Foundation kwa kushirikiana na Samsung na vitafungwa hivi karibuni kwa ajili ya kufundishia somo la kompyuta shuleni hapo. Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XoSJR01ryMNS6tZg7QJUY74wi8xo-5ttSq5oQQnjfmGjgWX0ZF8BrR7UhqqlRypIBPbyDWfkKuezyWIY4Re1cO/001.MLIMANI.jpg?width=650)
SHULE YA MSINGI MLIMANI JIJINI DAR YAFAIDIKA NA MSAADA WA KOMPYUTA 20 TOKA VODACOM FOUNDATION
Baadhi ya wanafunzi wa darasa la saba wa shule ya Msingi Mlimani ya jijini Dar es Salaam,wakiwa wamebeba baadhi ya kompyuta kati ya(20) zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation na kukabidhiwa na Mkuu wa taasisi hiyo, Renatus Rwehikiza(kulia) Msaada huo ulitolewa na Taasisi hiyo kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo. Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kushoto)akimkabidhi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EjuYdjeSi-c/VVIRKtu-NmI/AAAAAAAHW3M/xhDkmWWn8lQ/s72-c/001.MTAKUJA.jpg)
SHULE YA SEKONDARI MTAKUJA YA KUNDUCHI BEACH JIJINI DAR ES SALAAM YAPOKEA MSAADA WA KOPYUTA TOKA VODACOM FOUNDATION
![](http://4.bp.blogspot.com/-EjuYdjeSi-c/VVIRKtu-NmI/AAAAAAAHW3M/xhDkmWWn8lQ/s640/001.MTAKUJA.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NK8gYiMrPFs/VVIRJSw3DrI/AAAAAAAHW3E/hmtrbBYkl8c/s640/002.MTAKUJA.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Jul
HOSPITALI ZA RUFAA ZA WILAYA YA TEMEKE-KINONDONI NA ILALA ZANUFAIKA NA MASHINE ZA KUWASAIDIA WATOTO NJITI TOKA VODACOM FOUNDATIONâ€
![](http://api.ning.com/files/vZBStZ816j1m3O8qbo03w5OVwLqVdsSskUsx3wCua9peWQh1ozT1VhKgwyh1JfsE4nJN5qujVVQhurYRQkzccv722jen7MWy/001.AMANAHOSPITAL.jpg?width=650)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania