Jipatie tiketi ya bure shoo ya Diamond Krismasi
Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz.
UNATAKA kwenda shoo ya Diamond, Krismasi hii? Kama ndiyo, sasa unaweza kujipatia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo hiyo kwa kujibu maswali katika Gazeti la Uwazi kesho Jumanne pamoja na Risasi Mchanganyiko siku ya Jumatano.
Jinsi ya kushiriki, nunua gazeti lako la Uwazi au Risasi Mchanganyiko kisha jibu maswali kiufasaha ndani ya magazeti hayo katika kuponi maalum na washindi watano kila gazeti watajishindia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo ya...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS47bEFsfoO-7hHLC7I0A8wXRET*xE2nYpyZc-h-r*q6xegQJcl8d85Vd96E-YUFtn7exvoz9hFXXPQ4tCTSNT66/DIAMOND.jpg?width=650)
SHOO YA ZARI ALL WHITE PARTY YANUKIA, DIAMOND AJIPINDA KUHAKIKI TIKETI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mpjT2soSMQY/VHQIpYGBYAI/AAAAAAAGzPg/mKEF6gKKqwk/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
The Nyama Choma Festival Dar 6 Desemba -Jipatie Tiketi Yako Sasa Kwa sh 7000 tu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-mpjT2soSMQY/VHQIpYGBYAI/AAAAAAAGzPg/mKEF6gKKqwk/s1600/unnamed%2B(89).jpg)
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA SHOO YA KRISMASI NDANI YA DAR LIVE
11 years ago
GPLPROFESA JAY AFANYA KWELI SHOO YA KRISMASI DAR LIVE
10 years ago
Vijimambo27 Nov
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Diamond akacha shoo ya zari
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
MUSA MATEJA
Habari ya mjini! Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amezua utata kwa mashabiki wake baada ya kukacha kuzama kwenye pati iliyokuwa imeandaliwa na mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Guvnor jijini Kampala, Uganda ambapo wawili hao walikwenda pamoja kwa lengo la kushirikiana kwenye makamuzi ya shoo ya pati hiyo iliyokwenda kwa jina la Zari All White Ciroc Party.
Wageni...
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Malope, Diamond waiteka Krismasi
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Diamond amwaga Krismasi kwa watoto
STAA wa muziki wa Bongo fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinum’ juzi alitembelea kituo cha watoto wanaoishi katika mazingira magumu kilichopo Buguruni, Dar es Salaam kuwafariji na kuwapa zawadi ya Sikukuu...
10 years ago
GPLSHOO YA DIAMOND DAR LIVE YAACHA HISTORIA