Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK aahidi Sheria ya Habari Februari 2015

TANZANIA inatarajiwa kupata Sheria ya Uhuru wa kupata Habari ifikapo Februari, mwakani. Rais Jakaya Kikwete alisema hayo jana alipokuwa mmoja wa wazungumzaji katika mkutano unaohusu Uwazi na Ushirikiano kati ya Serikali na Jamii.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA JUMATANO FEBRUARI 25, 2015 HADI JUMATATU MACHI 02, 2015

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kutangaza kusitishwa kwa muda huduma ya treni ya Jiji  kuanzia leo  Jumatano jioni Februari 25 hadi  Jumatatu  Machi 02, 2015 itakapoanza tena.
Kwa mujibu  wa taarifa ya Uongozi wa TRL iliotolewa jioni  leo Februari 25,  2015 uamuzi wa kusitisha huduma hiyo umesababishwa  na vichwa  viwili vya treni hiyo kuharibika na kuhitaji matengenezo makubwa katika Karakana Kuu ya Morogoro .Taarifa imefafanua kuwa kwa vile kimebaki  kichwa kimoja...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Muswada wa habari Februari mwakani

SERIKALI imeendelea kupiga danadana kuleta bungeni muswada wa sheria ya habari na kusema itauleta Februari mwakani badala ya mkutano huu unaoendelea. Akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kusini,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani