JK ahudhuria mkutano wa kujadili miradi iliyoko katika Ukanda wa Kaskazini jijini Kigali, Rwanda, arejea Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-OhH9QTu-JBE/VPs9TkH5AsI/AAAAAAAHIlQ/Peox53dvGEg/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kwa furaha sahada la maua baada ya kuwasili Kigali, Rwanda, tayari kwa mkutano na viongozi wenzake wa Jumiya hiyo katika mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi hizo kujadili miradi iliyoko katika Ukanda wa Kaskazini (Northern Corridor Integration Projects) katika Hoteli ya Serena mjini Kigali. Mkutano wa leo pia umehudhuriwa na wakuu wa nchi za Kenya, Uganda na wenyeji Rwanda. Mbali na nchi hizo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Mar
JK ahudhuria mkutano wa kujadili miradi iliyoko katika Ukanda wa Kaskazini jijini Kigali, Rwanda
![](http://2.bp.blogspot.com/-OhH9QTu-JBE/VPs9TkH5AsI/AAAAAAAHIlQ/Peox53dvGEg/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kwa furaha sahada la maua baada ya kuwasili Kigali, Rwanda, tayari kwa mkutano na viongozi wenzake wa Jumiya hiyo katika mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi hizo kujadili miradi iliyoko katika Ukanda wa Kaskazini (Northern Corridor Integration Projects) katika Hoteli ya Serena mjini Kigali.
Mkutano wa leo pia umehudhuriwa na wakuu wa nchi za Kenya, Uganda na wenyeji Rwanda. Mbali na nchi hizo na...
10 years ago
Michuzi26 Mar
Rais Kagame awasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki Mkutano wa Uwelezaaji wa Ukanda wa Kati
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-c_1PntO5YdU/VRSxVqHRRRI/AAAAAAADduc/67DamhO1h4s/s72-c/a3.jpg)
Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-c_1PntO5YdU/VRSxVqHRRRI/AAAAAAADduc/67DamhO1h4s/s1600/a3.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimraribisha Rais Paul Kagame wa Rwanda kwenye ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati (Central Corridor Conference) ulioanza jana na kumalizika leo Machi 26, 2015.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zba7yLPKyL0/VRSxXQoD2tI/AAAAAAADdu4/wZL2h7J3--4/s1600/a5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tioGUdcS0-0/VRQsvmVF5hI/AAAAAAAHNeE/7GUe-8dmkOA/s72-c/a3.jpg)
Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-tioGUdcS0-0/VRQsvmVF5hI/AAAAAAAHNeE/7GUe-8dmkOA/s1600/a3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v3HQj9E_Jss/VRQsx0PSnYI/AAAAAAAHNec/xrz5KDWT2bs/s1600/a5.jpg)
11 years ago
MichuziMkutano Mkuu wa 49 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika wamalizika Jijini Kigali,Rwanda
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Dewji Blog23 May
Rais Kagame afungua rasmi mkutano wa mwaka wa Benki ya Maendeleo ya afrika (AfDB) unaofanyika jijini Kigali Rwanda
Baadhi ya Viongozi Wakuu wa Afrika waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ambao ulifunguliwa na Mh.Rais wa Rwanda Paul Kagame. Mh.Kagame katika hotuba yake alisisitiza kuzijengea uwezo sekta binafsi ili Afrika iweze kufikia uchumi wa kati kwa kipindi cha Miaka 50 ijayo. Aidha katika kufikia lengo hilo Rais Kagame alisema hatuna budi Afrika kuachana na Migogoro na kutekeleza kwa vitendo makubaliano yanayoafikiwa na Viongozi wa Afrika ili kujenga uchumi imara...
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) yashiriki mkutano mkuu wa 30 ALAT jijini Dar es Salaam
![DSC_0085](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0085-e1428575817381.jpg)
Naibu waziri wa TAMISEMI,Khasim Majaliwa,akipata maelezo na kusaini kitabu cha wageni kutoka kwa Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Tasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu chini ya Wizara ya Fedha, Bw, Uli Mtebe
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) inayoshiriki mkutano mkuu wa miaka wa 30 wa jumuia za Serikali za Mitaa Nchini (ALAT), unaofanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.Mkutano huo ulioanza...
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10