Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-c_1PntO5YdU/VRSxVqHRRRI/AAAAAAADduc/67DamhO1h4s/s72-c/a3.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimraribisha Rais Paul Kagame wa Rwanda kwenye ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati (Central Corridor Conference) ulioanza jana na kumalizika leo Machi 26, 2015.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wageni wake Rais Paul Kagame wa Rwanda na Rais Pierre Nkurunzinza kwenye ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati (Central Corridor...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tioGUdcS0-0/VRQsvmVF5hI/AAAAAAAHNeE/7GUe-8dmkOA/s72-c/a3.jpg)
Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-tioGUdcS0-0/VRQsvmVF5hI/AAAAAAAHNeE/7GUe-8dmkOA/s1600/a3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v3HQj9E_Jss/VRQsx0PSnYI/AAAAAAAHNec/xrz5KDWT2bs/s1600/a5.jpg)
10 years ago
Michuzi26 Mar
Rais Kagame awasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki Mkutano wa Uwelezaaji wa Ukanda wa Kati
10 years ago
Vijimambo26 Mar
Rais Kagame awasili Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa Uwelezaaji wa Ukanda wa Kati
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yfZExtANHgE/VaAl6qmdrUI/AAAAAAAHoiw/8sqVkWfR-cA/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Mkutano wa 12 wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wa Nchi za Afrika wanachama wa Jumuiya ya Madola kufanyika jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-yfZExtANHgE/VaAl6qmdrUI/AAAAAAAHoiw/8sqVkWfR-cA/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fb7PKacJ0Yc/Uwb8aBJR1CI/AAAAAAAFOic/IZKQHLEyFSQ/s72-c/unnamed1.jpg)
DKT. BILAL AHUDHURIA MKUTANO WA NNE WA NCHI WASHIRIKI WA KANDA YA KASKAZIN, JIJINI KAMPALA UGANDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fb7PKacJ0Yc/Uwb8aBJR1CI/AAAAAAAFOic/IZKQHLEyFSQ/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OrcrLAyfQlQ/Uwb8YKmPFlI/AAAAAAAFOh0/03ifSn4BAho/s1600/unnamed+(97).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iX3yS4CaN00/Uwb8X4keO3I/AAAAAAAFOhw/6DDmSg_5bs0/s1600/sa.jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Rais Kikwete afungua mkutano wa wakuu wa Utumishi wa Umma wa jumuiya ya madola jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wa Jumuiya ya Madola Barani Afraik jana (Jumatatu Julai 13, 2015) Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa siku 3 unatarajia kufungwa Jumatano Julai 15, 2015. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Celina Kombani na Naibu Katibu Mkuu wa Jumiya hiyo, Bi. Josephine Ojiambo.
Naibu Katibu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof....
10 years ago
MichuziRAIS MUSEVENI NA RAIS NKURUNZINZA WAWASILI NCHINI TAYARI KWA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA UKANDA KATI