RAIS MUSEVENI NA RAIS NKURUNZINZA WAWASILI NCHINI TAYARI KWA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA UKANDA KATI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akimpokea Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais Museveni yupo nchini kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Ukanda wa Kati kuhusu Uwekezaji na Viwanda unaofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere kuanzia tarehe 25 hadi 26 Machi, 2015.
Rais Museveni akipokea shada la maua kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Mar
MARAIS WAWASILI KUHUDHURIA MKUTANO WA WAKUU WA NCHI WA UKANDA WA KATI WA UWEKEZAJI NA VIWANDA
10 years ago
Michuzi26 Mar
Rais Kagame awasili jijini Dar es Salaam tayari kwa kushiriki Mkutano wa Uwelezaaji wa Ukanda wa Kati
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-c_1PntO5YdU/VRSxVqHRRRI/AAAAAAADduc/67DamhO1h4s/s72-c/a3.jpg)
Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-c_1PntO5YdU/VRSxVqHRRRI/AAAAAAADduc/67DamhO1h4s/s1600/a3.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimraribisha Rais Paul Kagame wa Rwanda kwenye ukumbi wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati (Central Corridor Conference) ulioanza jana na kumalizika leo Machi 26, 2015.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zba7yLPKyL0/VRSxXQoD2tI/AAAAAAADdu4/wZL2h7J3--4/s1600/a5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-tioGUdcS0-0/VRQsvmVF5hI/AAAAAAAHNeE/7GUe-8dmkOA/s72-c/a3.jpg)
Rais Kagame ahudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi za Kanda ya Kati jijini Dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-tioGUdcS0-0/VRQsvmVF5hI/AAAAAAAHNeE/7GUe-8dmkOA/s1600/a3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v3HQj9E_Jss/VRQsx0PSnYI/AAAAAAAHNec/xrz5KDWT2bs/s1600/a5.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s72-c/1A.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE, KWENYE MKUTANO WA TANO WA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA NA CHINA, JIJINI JOHANNESBURG, AHUTUBIA LEO MKUTANO WA MWISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-mWUvP40e7mw/VmLA5gEoqsI/AAAAAAAAr_k/3nNBtf6NqCE/s640/1A.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bgU4Z_pzN3Q/VmLBKyC9kMI/AAAAAAAAr_w/CsNTJfq8pPQ/s640/2..jpg)
Makamu wa...
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Rais Kikwete afungua Mkutano wa Wadau wa Ukanda wa Kati
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete akiongea na wajumbe wa mkutano wa Mradi wa ukanda wa kati wa Uchukuzi wakati wa ufunguzi wa Mkutano huo leo jijini Dar es Salaam,Mradi huo utahusiha nchi za Afrika Mashariki katika ujenzi wa reli.
Mkurugenzi Mkuu wa Jukwaa la Uchumi wa Nchi za Afrika,Elsie Kanza akisoma risala ya kumkaribisha Mgeni rasmi Mhe.Rais Jakaya Kikwete katika ufunguzi wa Mkutano wa siku moja wa Mradi wa Ukanda wa kati wa Uchukuzi leo jijini Dar es...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI LEO
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA UKANDA WA KATI JIJINI DAR LEO