JK amemteua mkuu mpya mmoja wa mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014.
Taarifa iliyotolewa leo, Jumapili, Desemba 7, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue mjini Dar es Salaam inasema kuwa Rais amemteua Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, Ndugu Daudi Felix Ntibenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Ndugu Ntibenda ataapishwa kesho, Jumatatu, Desemba 8,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4Ltfy5zewXI/VIS0UhQ7O9I/AAAAAAADRJY/U3rl-7IWFlk/s72-c/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
RAIS KIKWETE ATEUA MKUU MPYA MMOJA WA MKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI WENGINE SITA
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Ltfy5zewXI/VIS0UhQ7O9I/AAAAAAADRJY/U3rl-7IWFlk/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi...
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
JK ateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wa wilaya wapya 13 na kuwahamisha vituo vya kazi wengine saba.
Wakuu wa wilaya 13 walioteuliwa ni Shaaban Athuman Ntanambe ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Kagera; Thabisa Mwalapwa ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Mkoa wa Manyara; Richard Kasesera ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mkoa wa Iringa, Ruth Msafiri ambaye anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma na...
10 years ago
Mwananchi10 Jul
Pinda atangaza wilaya sita mpya, mkoa mmoja
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Mkuu wa Wilaya awatoa hofu walimu wanaopangiwa vituo vya kazi vijijini
Mkuu wa Wilaya Sengerema Bi. Karen Yunus, akisaini kitabu cha wageni baada ya kukagua mradi wa Maji Wilayani Sengerema sambamba na kukagua maabara shule ya Sekondari Migukulama pamoja na Choo cha shule hiyo.(picha zote na Daniel Makaka-Sengerema).
Na Daniel Makaka wa MOblog, Sengerema
MKUU wa Wilaya ya Sengerema, Bi Karen Yunus amewatoa hofu walimu wanaopangiwa maeneo ya kazi vijijini kutoogopa vituo vyao vya kazi kwa kuwa serikali imejipanga vizuri kuwahudumia.
Hayo yamesemwa hivi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RYGpccb3QhA/VWNEbBuvQVI/AAAAAAAHZwI/xHG00oEaXrg/s72-c/download.jpg)
JK ATEUA MKUU WA WILAYA MMOJA NA KUHAMISHA WENGINE 10 leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-RYGpccb3QhA/VWNEbBuvQVI/AAAAAAAHZwI/xHG00oEaXrg/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-afrk5kwCOmA/U9_5CEVgkxI/AAAAAAAF9Jw/hrsCuYsHnXI/s72-c/MMGM0222.jpg)
MKUU WA MKOA WA PWANI AZINDUA MRADI MPYA WA VIWANJA VYA PANGANI,KIBAHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-afrk5kwCOmA/U9_5CEVgkxI/AAAAAAAF9Jw/hrsCuYsHnXI/s1600/MMGM0222.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JvU-ar1_6s4/U9_5FO7RPoI/AAAAAAAF9J4/IKwsNYrIOuc/s1600/MMGM0234.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lUR41b1cf4M/VTUqcPW3qoI/AAAAAAAHSJ4/5_j5ZZbHGlo/s72-c/RC%2B-1.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AZINDUA MPANGO KAZI WA KUHARAKISHA KUPUNGUZA VIFO VYA AKINA MAMA NA WATOTO CHINI YA MIAKA 5 AKEMEA WATUMISHI WAZEMBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lUR41b1cf4M/VTUqcPW3qoI/AAAAAAAHSJ4/5_j5ZZbHGlo/s1600/RC%2B-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QABSGzpajk/VTUqbE-l-qI/AAAAAAAHSJo/-YY7WKyCtKI/s1600/RC%2B-%2B2.jpg)
10 years ago
Habarileo14 Feb
Watumishi wasioripoti vituo vya kazi waonywa
WATUMISHI wa Serikali katika kada mbalimbali wilayani Kaliua Mkoa wa Tabora wanaokwepa kuripoti katika vituo vyao vipya vya kazi kwa visingizio mbalimbali, wametakiwa kuacha tabia hiyo mara moja, kwani kama mtumishi wa serikali unatakiwa kuwa tayari kutumika sehemu yoyote ile.
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Waziri Mkuu awasimamisha kazi watumishi wengine watatu TRA