Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jk ashtakiwa ICC

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa […]

The post Jk ashtakiwa ICC appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Ashtakiwa ICC kwa uharibifu wa maeneo ya kihistoria

Mwanamgambo mmoja wa kiislamu anayeshukiwa kuharibu maeneo ya kihistoria na kitamaduni katika mji wa Timbuktu nchini Mali, amepelekwa katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC kukabaliana na mashtaka yanayohusu uhalifu wa kivita

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC:''Yebei aliwahonga mashahidi ICC''

Mahakama ya ICC inadai kuwa shahidi aliyeuawa aliwahonga mashahidi wengine. Na Emmanul Igunza

 

10 years ago

BBCSwahili

Bi Gbagbo ashtakiwa Ivory Coast

Mke wa rais wa zamani wa Ivory Coast Simone Gbagbo amefikishwa mahakamani kutokana na mashtaka ya ghasia za baada ya uchaguzi

 

10 years ago

BBCSwahili

Msanii Dr.Dre ashtakiwa,kunani?

Wasanii mashuhuri wa Marekani Dr Dre na Jimmy Loving wanashtakiwa na mshirika wao wa kibiashara kuhusu vipaza sauti vya beats

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari 'bandia' ashtakiwa Kenya

Raia mmoja wa Kenya ameshtakiwa na makosa 12 ikiwemo ubakaji,kujifanya kuwa mkunga mbali na kufungua kliniki bila leseni jijini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi habari ashtakiwa Angola

Mwandishi habari mashuhuri amefikishwa mahakamani nchini Angola kwa madai ya kuwaharibia watu mashuhuri majina.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aliyekuwa rais wa Thailand ashtakiwa

Aliyekuwa waziri mkuu wa Thailand Yingluck Shinawatra ameshtakiwa katika mahakama ya juu kwa kosa la kutowajibika

 

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho ashtakiwa utovu wa nidhamu

Mourinho amefunguliwa mashtaka ya utovu wa nidhamu na FA kwa sababu ya lugha aliyoitumia wakati wa mechi ambayo Chelsea walishindwa na West Ham.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa Argentina ashtakiwa

Makamu wa rais nchini Argentina Amado Boudou ameshtakiwa kwa mashtaka ya ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani