Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Carry out anti-prostate cancer campaign

President Jakaya Kikwete has directed the ministry of Health and Social Welfare to carry out a nationwide campaign on prostate cancer to raise awareness among Tanzanians about the disease.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FAHAMU SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)

Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vinavyotokana na kansa kwa wanaume duniani. Ugonjwa huu ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea, hata hivyo, satarani ya tezi dume kwa sasa inawapata sana wanaume kuanzia miaka 25. Kwa ufahamisho tu ni kwamba  neno saratani ni jina la ugonjwa ambalo hutokea wakati chembechembe za uhai au seli...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)-4

Baada ya vipimo hivyo kama vitaashiria saratani ya tezi dume basi daktari anaweza kuamuru vipimo vingine ili kuthibitisha uwepo wa ugonjwa huo kama vile Transrectal Ultrasound au Prostatic Needle Biopsy. Tukumbuke kuwa kuwahi kugundua saratani mapema kabla ya dalili, kuna faida kubwa kwa muathirika kwani saratani ikigundulika mapema ni rahisi kutibika. TIBA YAKE  Kuna njia kadhaa za matibabu ya saratani ya tezi dume. Hata...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)

Wiki hii wasomaji wengi wamependa nijadili kuhusu kansa ya tezi dume au Prostate Cancer kwa kitaalamu zaidi.Ugonjwa huu huweza kusababisha vifo. Ili kuujua vyema ugonjwa huo tafadhali fuatilia makala haya. Saratani ya tezi dume  upo katika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vinavyotokana na kansa kwa wanaume duniani. Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 50 na kuendelea....

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)-2

Wiki  iliyopita nilianza kuelezea ugonjwa wa saratani ya tezi dume, leo nitafafanua dalili za ugonjwa huu kama ifuatavyo: Daktari mmoja ambaye ni miongoni mwa waathirika wa saratani hiyo na mwanzilishi wa kampeni ya kuangamiza saratani ya tezi dume nchini Tanzania ya ‘50 Plus Campaign’ anasema kuwa, ugonjwa huu ukitambuliwa mapema huweza kutibika kwa urahisi. Kuna vihatarishi vingi vinavyochangia mwanamume kupata...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

TheCitizen

Anti-poaching campaign gets shot in the arm

>Tanzania’s anti-poaching drive got a boost yesterday after the Wildlife Foundation Conservation of Tanzania (WFCT) donated five new vehicles worth Sh600 million.

 

10 years ago

TheCitizen

TZ painted badly in anti-HIV campaign

Of the three East African states named this week in the top 10 countries with the highest HIV burden, Tanzania lags behind when it comes to dedicating financial resources to contain the virus. And this at a time when a lot more investment is required to control the public health threat in the wider Africa.

 

10 years ago

TheCitizen

Blatter shocked by US anti-corruption tactics campaign

The 79-year-old Swiss official, on the offensive after being re-elected to a new term on Friday, also slammed what he called a “hate” campaign by European football leaders 

 

10 years ago

Michuzi

HUAWEI’s eLTE technology to boost anti-poaching campaign

 HUAWEI Technologies (T) Limited Channel Executive, Mr. Moses Hella (left) explains to the President of the United Republic of Tanzania, Hon. Dr. Jakaya Kikwete on the company’s latest introduced latest smart phone called Ascend P7 when he visited the company’s booth during a two-day Tanzania Diaspora Initiative conference held in Dar es Salaam recently. Second left is the Prime Minister, Mizengo Pinda and Huawei Terminal Marketing Manager Lydia Wangari (third left). HUAWEI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani