JKT Ruvu kupanda miti 8,000
UONGOZI wa Kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Kikosi cha 832 Ruvu, umetenga ekari mbili za ardhi kwa ajili ya kupanda miti 8,000. Akizungumza kikosini hapo mbele ya Makamu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUPANDA MITI KATIKA KAMBI YA KIKOSI CHA JESHI LA KUJENGA TAIFA RUVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuozqqwOTJc/U4nudhZ76RI/AAAAAAAFmv4/tEGX310zyWY/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wObjwprniHs/U4nues3y6kI/AAAAAAAFmwE/xxppuJD0f3c/s1600/1.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AONGOZA UPANDAJI MITI MABWEPANDE KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA KUPANDA MITI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MKOA WA KAGERA WAADHIMISHA SIKU YA KUPANDA MITI KITAIFA WILAYANI ‘MISSENYI MISITU NI MALI PANDA MITI'
![](http://1.bp.blogspot.com/-5vC28MoyDdc/VR0rW6y0lMI/AAAAAAAHO6Q/0poDtc0UjnA/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Maadhimisho hayo yaliyoongozwa na mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu Celestine Gesimba kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo maadhimisho hayo yalianzia katika Kijiji cha Bugolola eneo la...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI: EAMCEF, JKT Ruvu wadhamiria kutunza Mto Ruvu
MAZINGIRA ni suala mtambuka, kila mtu kwa nafasi yake anatakiwa kuwajibika kuhakikisha dunia inakua mahali salama pa kuishi. Uwajibikaji wetu licha ya kutunza mazingira, naamini utaongeza pia siku za kuishi...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Jamii yaaswa kupanda miti
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Solar Oven Society Africa limetaka jamii kupanda miti kwa wingi katika maeneo yao ili kulinda na kuhifadhi mazingira na kuepusha nchi kugeuka jangwa.
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Wananchi wahimizwa kupanda miti
MKUU wa Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, Evarista Kalalu, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kujenga tabia ya kupanda miti na kutunza mazingira kwa lengo la kukabiliana na changamoto za mabadiliko...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mbunge ataka magereza kupanda miti
MBUNGE wa Kisarawe, Seleman Jaffo (CCM) ametaka kujua mikakati ya serikali kuwezesha majeshi ya magereza kupanda miti na kutunza mazingira kwenye maeneo yao magereza. Katika swali la awali la Mbunge...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Ilala kupanda miti zaidi ya 1,200
MANISPAA ya Ilala imeanza kuadhimisha Siku ya Mazingira kwa kupanda miti 100 kati ya 1,252 inayotarajiwa kupandwa ifikapo Juni 5, siku ya kilele cha maadhimisho hayo. Akizungimza wakati wa shughuli...