Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joh Makini akwepa kuizungumzia ishu hii ya Fid Q

Msanii wa hip hop kutoka Kundi la Weusi, Joh Makini, amesita kuzungumzia issue ya ushindani kati yake na rapa kutoka Mwanza Fareed Kubanda ‘Fid Q’.

Mashabiki katika mitandao ya kijamii wamekuwa wakiwashindanisha wawili hao, kutokana na uwezo wao wa kuandika mistari na kuchana, hali ambayo imetengeneza taswira ya kwamba huenda hawana maelewano.

Mtangazaji JJ wa Jembe Fm ya Mwanza, alipiga stori na Joh Makini na kumuuliza kama ushindani wake na Fid Q umekwisha baada ya hivi karibuni wawili hao...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Joh Makini kuachia rasmi video ya ‘ I See Me’ Jumanne hii Dec. 9

Wakati mashabiki bado wanasubiri kwa hamu video ya ‘XO’ ambayo director Nisher amekuwa akitease picha zinazoashiria kuwa itakuwa video kali, rapper wa Weusi Joh Makini anatarajia kutoa video nyingine mpya ya ‘I See Me’ siku ya Jumanne Dec.9. Video ya ‘I See Me’ imefanywa Kenya na chini ya director Mkenya ambaye mwaka huu amefanya video […]

 

9 years ago

Bongo5

Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka

joh davido

Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.

joh davido

Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.

Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...

 

5 years ago

Bongo Movies

VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine

Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

New Video: Joh Makini Ft. Gnako — XO

Joh Makini kutoka Weusi ameachia video ya wimbo wake mpya ‘XO’ aliomshirikisha G-Nako. Video imeongozwa na Nisher. Itazame na utuambie maoni yako chini.

 

10 years ago

Jamtz.Com

10 years ago

Bongo5

New Music: Joh Makini Ft G Nako — Xo

Wimbo mpya kutoka kwa Joh Makini akimshirikisha G Nako wimbo unaitwa “XO” Producer Sappy

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DO IT - ROSSIE ft. JOH MAKINI (DOWNLOAD)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani