KAA TAYARI!
![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDOTdHuatGLSyaxIm69KxpSci8xDHJvKiDDnk6ZVRSPr8NSw*hzZxje3uheP5zO4zZ2TlLFckw01eKYy5mxKHZO/AZAMAD.jpg?width=650)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5OH*Aqc0CNoziasvl0nO*41R2yKDfcp-pKlD2*Hwssjt8PlDh4nN6lv-JceQfIZdPInokuqajiGcbDge9210GSz/TANGAZOMAREKEBISHOSHIGONGO.jpg?width=650)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-kRVvOMIq32s/VXQCYwoK9gI/AAAAAAAAB80/2G98T82irD4/s72-c/Fast.jpg)
KAA TAYARI KWA "FAST AND FURIOUS 8" HII NDIO TAREHE ITAKAYOZINDULIWA..
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRVvOMIq32s/VXQCYwoK9gI/AAAAAAAAB80/2G98T82irD4/s400/Fast.jpg)
![fast 8 2](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/fast-8-2.jpg?resize=677%2C405)
10 years ago
Michuzi05 Nov
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..
Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘King Kiba‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !! Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi […]
The post Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam.. appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog29 May
Kaa tayari kwa ‘Movement’ mpya ya WBTA na Tanzania mpya!!!
Miongoni mwa viongozi waandamizi wa WBTA, ambao ni mapacha, Frank na Francis (kulia). Kushoto kwao ni mdogo wao, Monica Ntevi.
WBTA
Ni harakati zilizoanzishwa na vijana watatu Frank & Francis Ntevi na Eben Had, ambao wote ni wanafunzi wanaosoma chuo kikuu UDSM, kwa lengo la kuwanyanyua, kusapoti wasomi wote wenye moyo na Sanaa.
Kwa sasa wameanzia ndani ya UDSM, ikiwemo wameanza kusaidia kutoa sapoti kwa UDSM X BAND kwa kuwatengenezea albamu art kwa kushirikiana na mwanafunzi mwingine...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Escrow kaa la moto
NA THEODOS MGOMBA, DODOMA KASHFA ya madai ya kuchotwa mabilioni ya shilingi kwenye akaunti ya ESCROW, imezidi kuwa moto kutokana na kuibua mjadala mkali bungeni kila kukicha. Tayari serikali iliagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina ili kubaini iwapo malipo hayo kwa Kampuni ya PAP, iliyonunua IPTL, yalifanyika kihalali, ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imepewa jukumu hilo. Hata hivyo, habari za kuaminika...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Katiba Simba kaa la moto
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Warioba kaa pembeni -Tendwa