Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAA TAYARI!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

KAA TAYARI KWA "FAST AND FURIOUS 8" HII NDIO TAREHE ITAKAYOZINDULIWA..

Hata hatujaisahau Fast and Furious 7, tumeletewa habari kwamba mwendelezo unaendelea wa mfululizo wa movie hizo kwenye sehemu ya 8 ambapo Fast 8 inatarajiwa kutoka April 14th. 2017.It has already been confirmed that Dwayne “The Rock” Johnson will reprise his role as Luke Hobbs in the ‘Furious 7’ sequel and James Wan is reportedly eyed to return as director for the eighth instalment of the movie franchise.

fast 8 2

 

9 years ago

MillardAyo

Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..

Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘King Kiba‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !! Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi […]

The post Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam.. appeared first on...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kaa tayari kwa ‘Movement’ mpya ya WBTA na Tanzania mpya!!!

Monika & Us_00000 copyMiongoni mwa viongozi waandamizi wa WBTA, ambao ni mapacha, Frank na Francis (kulia). Kushoto kwao ni mdogo wao, Monica Ntevi.

WBTA

Ni harakati zilizoanzishwa na vijana watatu Frank & Francis Ntevi  na Eben Had, ambao wote ni wanafunzi wanaosoma chuo kikuu UDSM, kwa lengo la kuwanyanyua,  kusapoti wasomi wote wenye moyo na Sanaa.

Kwa sasa wameanzia ndani ya UDSM, ikiwemo wameanza kusaidia kutoa sapoti kwa  UDSM X BAND  kwa kuwatengenezea albamu art kwa kushirikiana na  mwanafunzi mwingine...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Escrow kaa la moto



NA THEODOS MGOMBA, DODOMA KASHFA ya madai ya kuchotwa mabilioni ya shilingi kwenye akaunti ya ESCROW, imezidi kuwa moto kutokana na kuibua mjadala mkali bungeni kila kukicha. Tayari serikali iliagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina ili kubaini iwapo malipo hayo kwa Kampuni ya PAP, iliyonunua IPTL, yalifanyika kihalali, ambapo Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imepewa jukumu hilo. Hata hivyo, habari za kuaminika...

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Simba kaa la moto

>Wakati mkutano wa mabadiliko ya Katiba ya Simba umepangwa kufanyika Machi 16 suala kubwa linalowapasua vichwa wanachama ni kipengele cha kutaka mtu aliyefungwa asiruhusiwe kugombea nyadhifa ndani ya klabu hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba kaa pembeni -Tendwa

Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa amemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuacha kuitetea Rasimu ya Katiba kwa maelezo kuwa kazi yake ilikuwa ni kuiandaa na siyo kushawishi kila mtu akubaliane nayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani