Kaa tayari kwa ‘Movement’ mpya ya WBTA na Tanzania mpya!!!
Miongoni mwa viongozi waandamizi wa WBTA, ambao ni mapacha, Frank na Francis (kulia). Kushoto kwao ni mdogo wao, Monica Ntevi.
WBTA
Ni harakati zilizoanzishwa na vijana watatu Frank & Francis Ntevi na Eben Had, ambao wote ni wanafunzi wanaosoma chuo kikuu UDSM, kwa lengo la kuwanyanyua, kusapoti wasomi wote wenye moyo na Sanaa.
Kwa sasa wameanzia ndani ya UDSM, ikiwemo wameanza kusaidia kutoa sapoti kwa UDSM X BAND kwa kuwatengenezea albamu art kwa kushirikiana na mwanafunzi mwingine...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-kRVvOMIq32s/VXQCYwoK9gI/AAAAAAAAB80/2G98T82irD4/s72-c/Fast.jpg)
KAA TAYARI KWA "FAST AND FURIOUS 8" HII NDIO TAREHE ITAKAYOZINDULIWA..
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRVvOMIq32s/VXQCYwoK9gI/AAAAAAAAB80/2G98T82irD4/s400/Fast.jpg)
![fast 8 2](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/05/fast-8-2.jpg?resize=677%2C405)
10 years ago
Michuzi05 Nov
10 years ago
Bongo Movies06 Jan
Dhana: Kazi Mpya ya Riyama, Kaa Mkao wa Kula
Mwaka ndio huo tumeshauanza, na kazi ndio hizi zipo jikoni karibu kutoka, Hii ni ya mwigizaji anaesifiwa kwa kuvaa vizuri (kwa heshima) sio mwigine ni, Rihaya Ally, filamu inaitwa Dhana,kwamaneno mafupi akizungumzia ujio wa filamu hii Riyama alisema;
“Dhana....... Mbayaaaaaaaaaa!! Kazini kazi ya mikono yangu wadau kaeni mkao wakula”
Tukae mkao wa kula,tuisubiri
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..
Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘King Kiba‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !! Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi […]
The post Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam.. appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vMQ5RJcyKDDOTdHuatGLSyaxIm69KxpSci8xDHJvKiDDnk6ZVRSPr8NSw*hzZxje3uheP5zO4zZ2TlLFckw01eKYy5mxKHZO/AZAMAD.jpg?width=650)
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Katiba mpya tayari tumeliwa
TUMELIWA! Katiba mpya tuliyodanganywa itatokana na wananchi, mchakato wake umehodhiwa na kuvurugwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu awali CCM hawakuwa na wazo wala dhamira ya kuandika Katiba mpya isipokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQIpha_l4mE/VA9LaUXpTzI/AAAAAAAGiSY/Uuz7cxvcCv4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Bongo502 Jan
Akon aachia nyimbo 5 mpya kwa mpigo kutoka kwenye album mpya ‘Stadium’