Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagera Sugar kuhamia Tabora mechi za Ligi Kuu

WAKATI pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2015/2016 likitarajiwa kufunguliwa Jumamosi, timu ya Kagera Sugar yenye makazi yake wilayani Missenyi itatumia Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora kwa mechi zake za nyumbani badala ya Kaitaba katika Manispaa ya Bukoba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kocha Kagera Sugar ajipanga atoke vipi Ligi Kuu

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mohammed Adolph Richard, amesema atatumia mapumziko ya Ligi Kuu Tanzania Bara kujipanga na kuhakikisha anaondoa dosari zilizopo kwenye timu hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Kagera Sugar, ni wakati wa kusaka pepo au moto

Miezi 15 iliyopita, klabu ya Kagera Sugar yenye makazi yake katika mkoa anaotoka Rais wa TFF, Jamal Malinzi ilishika nafasi ya tano ikiwa na pointi 38. Pia,  miezi miwili iliyopita imemaliza nafasi ya sita ikiwa ikiwa na pointi 32.

 

11 years ago

GPL

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za ligi kuu Uingereza Jumamosi

Arsenal itachuna na Manchester United huku Chelsea na Manchester City zikikabiliana na West Brom na Swansea

 

10 years ago

GPL

LIGI KUU ENGLAND MECHI ZA LEO

Chelsea v West Brom - Stamford Bridge - 12:00 Jioni
Everton v West Ham - Goodison Park - 12:00 Jioni  
Leicester v Sunderland - King Power Stadium - 12:00 Jioni
Man City v Swansea - Etihad Stadium - 12:00 Jioni  
Newcastle v QPR - St. James' Park - 12:00 Jioni
Stoke v Burnley - Britannia Stadium - 12:00 Jioni…

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yainyuka Kagera, yakaa kileleni Ligi Kuu

Azam imejikita kileleni mwa Ligi Kuu kwa kishindo baada ya kuichapa Kagera Sugar ya Bukoba kwa mabao 3-1 jana kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kado kukosa mechi zilizosalia Ligi Kuu

KIPA mahiri wa timu ya Coastal Union ya Tanga, Shaaban Kado, atakosa mechi za Ligi Kuu Bara zilizobaki kutokana na kufungwa plasta ngumu (POP) mkono wake wa kushoto. Kado alipata...

 

10 years ago

BBCSwahili

Cheikhou kukosa mechi tano za ligi kuu

Kiungo wa kati wa Westham Sheikhou Koutaye amepata jeraha hatashiriki michezo mitano ya ligi kuu England

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani