Kamachumu wabuni mbinu kuukabili ufisadi kwenye zao la kahawa
KWA miaka mingi zao la kahawa limeshughulikiwa kupitia kwenye vyama vya ushirika. Wakulima wa zao hilo walijiunga kwenye ushirika na kuuachia kazi ya kulitafutia soko zao hilo huku ukiwalipa wakulima...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Wabuni mbinu ya kuwaangamiza dumuzi
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Madereva wabuni mbinu mpya ya mgomo
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Madereva Wafanyakazi Tanzania (TADWU), kimesema madereva nchi nzima watakuwa mapumziko kwa wiki moja au zaidi kwa ajili ya kujiunga na mafunzo ya udereva.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Katibu wa TADWU, Rashid Said, alisema baada ya mazungumzo na Kamati ya Kudumu ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wameshindwa kuafikiana na kuona kuwa matajiri ndiyo wana nguvu zaidi kuliko wao waajiriwa.
Alisema kutokana na hali hiyo wameamua kutoendelea na...
10 years ago
MichuziBODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
10 years ago
MichuziMONDAY, DECEMBER 1, 2014 BODI YA KAHAWA NCHINI(TCB) YAZINDUA MTAALA ENDELEVU WA KITAIFA JUU YA ZAO LA KAHAWA NCHINI
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Ukawa wabuni mbinu mpya ya urais 2015
KIKAO cha pamoja kilichowakutanisha viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimetoa mikakati ya pamoja ikiwamo kuandaa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi ya urais kwa kila chama.
Hatua hiyo imekuja baada ya kikao cha siri cha siku mbili kilichowakutanisha viongozi wa juu wa Ukawa ambao ni Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, Freeman Mbowe (Chadema), James Mbatia (NCCR-Mageuzi) na Dk. Emmanuel Makaidi (NLD).
Chanzo cha kuaminika kiliambia MTANZANIA jana kuwa katika kikao...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Wauza ‘unga’ sasa wabuni mbinu mpya
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Wanasiasa wabuni mbinu ya ‘kuchota’ wapiga kura
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wabuni mbinu za kuuza chakula kwa simu