KAMATI KUU YATEUA WATATU USPIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-d9jshBnWs3k/VkihSug12PI/AAAAAAAArYg/njecS_0AqsA/s72-c/1.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi wa NEC ,CCM Makao Makuu Dodoma akiwa ameshikilia kitabu cha Kanuni za Kamati ya Wabunge Wote wa Chama Cha Mapinduzi.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika leo Novemba 15, 2015 mjini Dodoma imewateua wana-CCM watatu watakaopigiwa kura na wabunge wote wa CCM ili kumpata mgombea wa CCM katika nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kamati Kuu CCM yateua makatibu 27
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeendelea na kikao mjini hapa ambapo moja ya ajenda za kikao hicho ni kujadili mwenendo mzima wa mchakato wa Katiba mpya. Pia Kamati hiyo imewateua makatibu 27 wa wilaya ili kujaza nafasi zilizoachwa wazi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vifo na kustaafu, lakini lengo kuu likiwa kukiimarisha chama kuanzia ngazi za chini.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/CCM-1.jpg)
KAMATI KUU CCM YAPITISHA MAJINA 3 YA USPIKA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s72-c/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s640/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1T2y99qqkA/VkiW1el6J9I/AAAAAAAIF74/byI1HWv9iRU/s640/231f052ece9fe2d443699739ec975e0a.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kamati kuu ya CCM Taifa yateua wagombea Ubunge katika majimbo mawili ya Singida Mashariki na Kiteto
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM, Ofisi Ndogo Lumumba.
2015 – Nape – Press Conf – Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/f-MjeoJgNE4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Feb
KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM KUKUTANA DAR ES SALAAM FEBRUARI 28
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM itakuwa na kikao cha kawaida cha siku moja mjini Dar es Salaam tarehe 28 Februari,2015.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s72-c/zitto.jpg)
JUST IN: MAHAKAMA KUU imeifutilia mbali kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chadema
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hz9JSOeu4gg/VP8GehF04GI/AAAAAAAHJWs/vz8aKUbah3c/s1600/zitto.jpg)
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifutilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kukubali mapingamizi yaliwasilishwa na chama hicho.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za pande zote mbili kuhusu mapingamizi ya Chadema.
Mapema Saa 3:20 asubuhi Jaji Mziray alisoma uamuzi huo mbele ya wanaodaiwa kuwa wanachama huku upande...