kamati ya bunge ya uliniz na usalama ziarani india
![](http://3.bp.blogspot.com/-A2V1uPSBgsM/Uv0OKOhv9pI/AAAAAAAFM_Y/-9B1_TUUMWc/s72-c/i1.jpg)
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge wakiwa na wenyeji wao mara baada ya kuwasili katika Bunge la India (Lokh Sabha) wajumbe wa kamati hiyo wametembelea leo huko New Delhi, India
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge Mhe Anna Abdallah akisaini katika kitabu cha wageni wa Bunge la India (Lokh Sabha) ambalo yeye na wajumbe wa kamati hiyo wametembelea leo huko New Delhi, India
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wakiwa ziarani India
Kikao cha pamoja katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA TAMISEMI ZIARANI MKOA WA PWANI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-O58dy_NHEAE/UwHPj6U7HjI/AAAAAAAFNgM/90pupwWCaOc/s72-c/unnamed+(4).jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE ZIARANI NCHINI UFARANSA
![](http://1.bp.blogspot.com/-O58dy_NHEAE/UwHPj6U7HjI/AAAAAAAFNgM/90pupwWCaOc/s1600/unnamed+(4).jpg)
Mwandishi Wetu, Paris Ufaransa.
Kamati ya Bunge ya Masuala ya Mambo ya Nje imemaliza ziara ya siku tatu nchini Ufaransa na kuridhishwa na...
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Maofisa usalama wamwagwa mikutano ya kamati za Bunge
5 years ago
MichuziWAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE YA NJE, ULINZI NA USALAMA WATEMBELEA JENGO LA WIZARA LILILOPO MTUMBA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nje, Ulinzi na Usalama walipofanya ziara ya kikazi kwenye Jengo la Wizara lililopo Mtumba jijini Dodoma tarehe 15 Machi 2020
Mhe. Prof. Kabudi akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya NUU
Wajumbe wa Kamati ya NUU akiwemo Mhe. Vuai Nahodha (kulia) wakimsikiliza Prof. Kabudi (hayupo pichani). Kushoto ni Mhe. Augustino Masele.
Wajumbe...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwpCQ9oQVgw/Xmzj2bRY0HI/AAAAAAALjp4/77QLFx17WYszLlnphZL3nTBvI7Cuj7KhQCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-5-768x765.jpg)
SIMBACHAWENE AWAONGOZA WATENDAJI WAKUU ZIMAMOTO KIKAO CHA KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwpCQ9oQVgw/Xmzj2bRY0HI/AAAAAAALjp4/77QLFx17WYszLlnphZL3nTBvI7Cuj7KhQCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-5-768x765.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati), akizungumza na Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Victor Mwambalaswa wakati wakitoka kukagua Jengo la Makao makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, jijini Dodoma leo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhani Kailima....
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s72-c/unnamed+(83).jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-yNZmJ19nHPI/U5q8yWo2WBI/AAAAAAAFqTI/C7wIacKNYF0/s1600/unnamed+(83).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ouihL5xM_w/U5q83LeHuCI/AAAAAAAFqTg/8xPEzL_8dm0/s1600/unnamed+(80).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA (NUU) YAFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MRADI WA UJENZI WA KIWANDA CHA USEREMALA GEREZA MSALATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLj1-lUEOFM/XnEeeeId5sI/AAAAAAALkMM/RB4exNlljrMhiwhvGMbGd-YTiyOqW4XxQCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1AA-4-768x512.jpg)
Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi ndugu Christopher D. Kadio (wa nne toka kushoto ) akimkaribisha Mkuu wa Msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama,ambaye ni Mbunge wa Zanzibar Jimbo la Uzini ndugu Salum Rehani(wa nne toka kulia) walipowasili eneo la Mradi, Msalato. Wa tatu toka kushoto ni Kamishna Jenerali wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wDvsc-57EWo/Xnt0y8s_BjI/AAAAAAALlCA/hcqW-2O4u5gjJiXyPPUaB3i5B0apD3lcgCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...