KAMATI YA BUNGE YA TAMISEMI ZIARANI MKOA WA PWANI
Wajumbe wakipata maelezo kutoka kwa uongozi wa Mkoa wa Pwani pamoja na Hospitali ya Tumbi kuhusu upanuzi wa hospitali hiyo. Wajumbe wakikagua Jengo Jipya la Hospitali ya Tumbi linaloendelea kujengwa. Wajumbe wa Kamati ya TAMISEMI wakitembelea Shule ya Sekondari Mihande iliyopo Mlandizi Mkoa wa Pwani kukagua Ujenzi unaondelea. Wajumbe wa Kamati hiyo wakipata Maelezo kuhusu Ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari Mihande.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzikamati ya bunge ya uliniz na usalama ziarani india
11 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE ZIARANI NCHINI UFARANSA
Mwandishi Wetu, Paris Ufaransa.
Kamati ya Bunge ya Masuala ya Mambo ya Nje imemaliza ziara ya siku tatu nchini Ufaransa na kuridhishwa na...
10 years ago
Michuzikamati ya bunge ya serikali za mitaa na tawala za mikoa (Tamisemi) ytembelea miradi ya miundombinu dar es salaam
10 years ago
MichuziHotuba ya Dkt. Hamisi Kigwangalla, Mbunge wa Jimbo la Nzega na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya TAMISEMI Alipopokelewa Jimboni Nzega Baada ya Kutangaza Nia Kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Nitumie fursa hii kwa namna ya kipekee kuwashukuru nyote kwa kuacha shughuli zenu kuja kunipokea na kushiriki mkutano huu. Mmenipa heshima kubwa sana na mimi nawajibika tu kusema ‘ahsanteni sana’.
Mimi hapa ni aidha mtoto wenu, mjukuu wenu ama mdogo wenu, mnapoacha shughuli zenu...
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yasusa chai ya Mkuu wa Mkoa wa SIngida
Mshauri wa kampuni ya kufua umeme wa upepo Geo Wind, Machwa Kagoswe, akitoa ufafanuzi juu ya kazi ya ufuaji umeme wa upepo katika eneo la kijiji cha Kisasida manispaa ya Singida mbele ya kamati ya Bunge ya Nishati na madini iliyotembelea mkoa wa Singida hivi karibuni.Mwenye miwani ni mwenyekiti wa kamati hiyo Richard Ndassa.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAMPUNI ya ubia ya Geo Wind Power Tanzania ltd,inatarajia kutumia zaidi ya dola ya Marekani 136 milioni kwa ajili ya kugharamia uzalishaji wa...
11 years ago
MichuziKAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
9 years ago
MichuziMAGUFULI AMALIZA KAMPENI ZAKE MKOA WA LINDI,AANZA MKOA WA PWANI KWA KISHINDO
11 years ago
MichuziJK Ziarani Pangani mkoa wa Tanga
9 years ago
MichuziTIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI MKOA WA DAR WAENDELEA KUJIFUA KUJIANDAA KUWAKABILI WENZAO WA MKOA WA ARUSHA
Mbali na mchezo huo pia timu hizo zinatarajia kufanya shughuli za Kijamii, ikiwa ni pamoja na kutembelea wagonjwa na Vituo vya Albino kwa lengo la kudumisha Amani na Mshikamano...