Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Nahodha yakosa theluthi mbili

Mwenyekiti wa Kamati namba moja ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha

Mwenyekiti wa Kamati namba moja ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha

Na Debora Sanja, Dodoma

MWENYEKITI wa Kamati namba moja ya Bunge Maalumu la Katiba, Shamsi Vuai Nahodha, imekosa theluthi mbili katika ibara mbili wakati wakipitisha sura ya pili na ya tatu.

Akizungumza na waandishi wa habari jana alisema kamati yake imeshamaliza kujadili sura ya pili na sura ya tatu pamoja na kupitisha ibara za sura hizo kwa kupiga kura.

Kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba, sura ya kwanza inahusu...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Vuai yakosa theluthi mbili ya kura

>Kamati namba mbili ya Bunge Maalum la Katiba imekosa theluthi mbili katika ibara 19 na 22 zinaohusiana na maadili na miiko ya uongozi na utumishi wa umma.

 

11 years ago

Habarileo

Kura theluthi mbili zakwamisha Kamati

Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi, Anna AbdallahHATUA ya kufanya uamuzi wa kupitisha vifungu vya rasimu ya Katiba mpya katika ngazi ya kamati za Bunge, ilifikiwa jana huku changamoto ya kutopatikana kwa theluthi mbili ya kura kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, ikijitokeza katika kamati nyingi.

 

11 years ago

Habarileo

Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo

Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William NgelejaWAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Theluthi mbili inawezekana — Ngeleja

MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati Na. 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema kuna uwezekano mkubwa wa kupata theluthi mbili ya Bara na Zanzibar kuelekea mfumo wa serikali mbili....

 

10 years ago

Mtanzania

LHRC kuchunguza theluthi mbili ya Z’bar

Dk. Helen Kijo-Bisimba

Dk. Helen Kijo-Bisimba

NA GRACE SHITUNDU, DAR ES SALAAM
MKURUGE NZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba, amesema watafanya uchunguzi kubaini mazingira yaliyowezesha kupatikana kwa theluthi mbili ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar.

Alisema ingawa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa imepitishwa, theluthi mbili kwa upande wa Zanzibar haijulikani inatokana na kura gani, kwani toka awali hesabu zilionyesha kura za wajumbe kutoka visiwani...

 

10 years ago

StarTV

Theluthi mbili yaanza kutafutwa Dodoma.

UPIGAJI kura kupata Katiba Inayopendekezwa, unatarajiwa kuanza leo ambapo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walio bungeni na nje ya Bunge, watapiga kura ya kuikubali, au kuikataa kwa njia ya wazi na siri.

Kwa wajumbe watakaokuwa nje ya ukumbi huo, wakiwemo watakaokuwa nje ya nchi, tayari utaratibu wa kupiga kura popote walipo kwa njia ya nukushi (faksi) na intaneti, umeshaandaliwa.

Akizungumza bungeni juzi wakati wa kuhitimisha mjadala wa mapendekezo ya mabadiliko ya Rasimu katika Katiba...

 

11 years ago

Habarileo

‘Watafute maridhiano wakikwama theluthi mbili’

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru ametaka kuandaliwa mkakati wa kutafuta maelewano iwapo maazimio ya theluthi mbili hayatafikiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

LHRC: Theluthi mbili Zanzibar utata

Helen-Kijo-Bisimba

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba.

Na Mwandishi wetu

MKURUGENZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen Kijo-Bisimba, amesema watafanya uchunguzi kubaini mazingira yaliyowezesha kupatikana kwa theluthi mbili ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka Zanzibar.

Alisema ingawa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa imepitishwa, theluthi mbili kwa upande wa Zanzibar haijulikani inatokana na kura gani, kwani toka awali hesabu...

 

10 years ago

Habarileo

Theluthi mbili Zanzibar rasimu ya Katiba utata

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel SittaKAMA ilivyotarajiwa kwamba theluthi mbili ya kura za ‘Ndiyo’ kwa ajili ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa ingeleta shida, tayari kwa idadi ya wajumbe waliokuwa ndani ya ukumbi wa Bunge jana, theluthi mbili ya wajumbe wa Zanzibar imekosekana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani