Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS YATANGAZA WASHINDI WA DROO YAO

 Bw. Moustafa H. Khataw, Mkurugenzi Mkuu wa  kampuni ya Uniglove Skylink Travel & Tours akiwakaribisha waandishi wa habari pamoja na wageni waliofika katika droo ya kuwapata washindi wanne  kwa wateja wote wa kampuni hiyo  ambao hununua tiketi za usafiri wa ndege kwenda katika nchi mbalimbali duniani.Bw. Husain AlSafi, Mkurugenzi Mkuu wa tawi la Shirika la ndege la Emirates Tanzania ambao walikuwa ni wadhamini wa shindano hilo akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za Skylink.
Msimamizi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UNIGLOBE Skylink Travel & Tours Ltd Joins List of Top UNIGLOBE Agencies Worldwide

UNIGLOBE Skylink Travel & Tours Ltd based in Dar Es Salaam – Tanzania with branches in Arusha, Mwanza and Zanzibar has been named to the 2015 UNIGLOBE Chairman’s Circle for being among the top-performing TMCs in the UNIGLOBE system worldwide. 
“Annually, we award UNIGLOBE Chairman's Circle membership to travel management companies who meet or exceed our highest performance and operating standards, based on established criteria," says UNIGLOBE Travel International president and chief operating...

 

11 years ago

Michuzi

IMPORTANT NOTICE: power outage at UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS LIMITED at AMANI Place in DAR ES SALAAM

Dear all,   We are having serious power outage at our Corporate Office at AMANI Place and our Exchange Server has shut down.
 
For all your urgent bookings, please telephone our Julius Nyerere International Airport on Telephone nos.+255 22 2842739  /+255 782 540881 / +255 713 540 881 
Or Email us on dia@skylinkonline.com for immediate assistance

We have been advised by the building Management that the power outage will be resolved by the evening tomorrow , Tuesday, 6th May,2014.

Our...

 

11 years ago

Michuzi

UNIGLOBE Skylink Travel and Tours July offers

For more information CLICK HERE

 

9 years ago

Vijimambo

SKYLINK YATANGAZA WASHINDI WA DROO YAO LEO JIJINI DAR ES SALAAM.

 Bw. Moustafa H. Khataw kutoka kampuni ya Skylink akiwakaribisha waandishi wa habari pamoja na wageni waliofika katika droo ya kuwapata washindi wanne leo kwa wateja wote wa Skylink ambao hununua tiketi za usafiri wa ndege kwenda katika nchi mbalimbali duniani.Bw.Husain AlSafi kutoka Emirates ambao walikuwa ni wadhamini wa shindano akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) leo katika ofisi za Skylink.
Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini, Bw. Abdallah Hemed akizichanganya...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya miaka 20 ya Antelope Tours & Travel Services Ltd yafana

 Mkurugenzi Mkuu  Madame Rose Abdallah akitoa shukrani kwa wageni waliofika kwenye mchaparo wa kusherehekea kutimiza Miaka 20 ya Antelope Tours& Travel Services Ltd iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar es salaam

 Mkurugenzi Mkuu Eckhardt Mtasiwa akiongelea machache kuhusu kampuni kwa wageni waalikwa

 Bwana Davis Mosha akiongea machache baada ya kupokea tuzo ya mteja wa Antelope Tours & Travel Services Ltd wa miaka mingi

 Meneja Mkuu Bwana Harry Chopeta akipokea tuzo kutoka kwa Mkurugenzi...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yatangaza washindi wa droo ya nne ya “Jiongeze na Mshiko”

Airtel Tanzania imetanga washindi  wa droo yake ya nne ya promosheni  ya "Jiongeze na Mshiko"  katika ofisi za makao makuu ya Airtel zilipo Morocco jijini Dar Es Salaam, ambapo wateja wanaweza kushinda zawadi ya fedha kila wiki ya shilingi tatu , milioni  moja na mwisho wa promosheni mteja ataweza kuondoka na kitita cha shilingi milioni 50.
Akiongea wakati wa droo hiyo, Afisa uhusiano na matukio wa Airtel  Dangio Kaniki alisema leo tunatangaza washindi wawili wa  promosheni ya "Jiongeze na...

 

10 years ago

Michuzi

AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA KWANZA WA DROO YA PROMOSHENI YA "JIONGEZE NA MSHIKO"

Meneja uhusiano wa Airtel, Bwana Jackson Mmbando akiongea na mshindi
aliyepatikana wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya wiki ya
promosheni ya "Jiongeze na Mshiko" ambapo wateja wawili wa Airtel
kutoka mikoa ya Geita na Mtwara  walipatikana akichukua taarifa za
mshindi (kushoto) ni mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha
bwana Humudi Abdul Hussein na Afisa huduma za ziada  Airtel bwana
Fabian Felician.(kati) droo hii imechezwa leo katika makao makuu ya
Airtel Moroco jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani