Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maadhimisho ya miaka 20 ya Antelope Tours & Travel Services Ltd yafana

 Mkurugenzi Mkuu  Madame Rose Abdallah akitoa shukrani kwa wageni waliofika kwenye mchaparo wa kusherehekea kutimiza Miaka 20 ya Antelope Tours& Travel Services Ltd iliyofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar es salaam

 Mkurugenzi Mkuu Eckhardt Mtasiwa akiongelea machache kuhusu kampuni kwa wageni waalikwa

 Bwana Davis Mosha akiongea machache baada ya kupokea tuzo ya mteja wa Antelope Tours & Travel Services Ltd wa miaka mingi

 Meneja Mkuu Bwana Harry Chopeta akipokea tuzo kutoka kwa Mkurugenzi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS YATANGAZA WASHINDI WA DROO YAO

 Bw. Moustafa H. Khataw, Mkurugenzi Mkuu wa  kampuni ya Uniglove Skylink Travel & Tours akiwakaribisha waandishi wa habari pamoja na wageni waliofika katika droo ya kuwapata washindi wanne  kwa wateja wote wa kampuni hiyo  ambao hununua tiketi za usafiri wa ndege kwenda katika nchi mbalimbali duniani.Bw. Husain AlSafi, Mkurugenzi Mkuu wa tawi la Shirika la ndege la Emirates Tanzania ambao walikuwa ni wadhamini wa shindano hilo akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za Skylink.
Msimamizi...

 

11 years ago

Michuzi

IMPORTANT NOTICE: power outage at UNIGLOBE SKYLINK TRAVEL & TOURS LIMITED at AMANI Place in DAR ES SALAAM

Dear all,   We are having serious power outage at our Corporate Office at AMANI Place and our Exchange Server has shut down.
 
For all your urgent bookings, please telephone our Julius Nyerere International Airport on Telephone nos.+255 22 2842739  /+255 782 540881 / +255 713 540 881 
Or Email us on dia@skylinkonline.com for immediate assistance

We have been advised by the building Management that the power outage will be resolved by the evening tomorrow , Tuesday, 6th May,2014.

Our...

 

10 years ago

Michuzi

UNIGLOBE Skylink Travel & Tours Ltd Joins List of Top UNIGLOBE Agencies Worldwide

UNIGLOBE Skylink Travel & Tours Ltd based in Dar Es Salaam – Tanzania with branches in Arusha, Mwanza and Zanzibar has been named to the 2015 UNIGLOBE Chairman’s Circle for being among the top-performing TMCs in the UNIGLOBE system worldwide. 
“Annually, we award UNIGLOBE Chairman's Circle membership to travel management companies who meet or exceed our highest performance and operating standards, based on established criteria," says UNIGLOBE Travel International president and chief operating...

 

10 years ago

Vijimambo

For Air Cargo Services - Talk To All Afrika Travel & Logistics llc

- Too many luggages
- Time you spend balancing the weights
- Injuries from lifting too much weight
- Chances of loosing a bag and pain of tracking them all at all times
- Higher costs of paying for excess luggages
- Dealing with customs at point of entry
- etc
Why swallow all the pain instead of contacting AllAfrika Travel & Logistics to deal with the cargo freight? We pick up from mosts states and air cargo to any country. We have new partner to collect cargoes from many states and bring to DMV,...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana jijini Dar leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi waliofurika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara akiwa katika Gari maalum liliozunguuka katika uwanja huo leo.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis Mwamunyange.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lilioandaliwa katika...

 

11 years ago

Michuzi

Maadhimisho sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yafana jijini Kuala Lumpur,Malaysia

Watanzania waishio nchini Malaysia hivi karibuni walikutana pamoja katika hafla ya kusherehekea maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zilizofanyika katika Hotel ya Prince jijini Kuala Lumpur- Malaysia,chini ya uongozi wa Balozi Dr. Aziz Ponary Mlima. Mgeni rasmi kwenye hafla hiyo alikuwa ni Naibu Waziri wa Usafiri na Uchukuzi wa Malaysia Dato Ab. Aziz Kaprawi. Balozi wa Tanzania nchini Malaysia,Dr. Aziz Ponary Mlima pamoja na Maafisa wa Ubalozi wakiwakaribisha wageni waalikwa.

 

11 years ago

Michuzi

UNIGLOBE Skylink Travel and Tours July offers

For more information CLICK HERE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani