Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Karibu na Uchaguzi Mkuu, Wamachinga ni kula kuku

WAFANYABIASHARA ndogo ndogo maarufu kama ‘Machinga’ kila kukicha wamekuwa wakihangaika kufanya biashara zao kwenye maeneo ambayo serikali inayazuia. Hata hivyo kutokana na utafutaji riziki wamachinga hao wamekuwa wakiparurana kila uchao...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DALLAS WE ACHA TU NI KULA BATA MPAKA KUKU WANAONA WIVU

 Wadau wakiwa wamekutana kwenye mgahawa wa Africa Fusion uliopo Dallas, Texas kupata menyu siku ya Jumamosi July 4, 2015 Wadau wakipata picha ya pamoja ndani ya mgahawa wa Africa Fusion. Andrew(kulia) akipaya picha na Mpwa. Wadau wa Dallas wakiwa kwenye nyama choma siku ya Jumapili July 5, 2015. Wadau wa Dallas wakipata picha ya pamoja. kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Habarileo

Chadema yadaiwa kula njama za kuvuruga uchaguzi

Katibu Mkuu wa UVCCM, Sixtus MapundaKATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Sixtus Mapunda amedai Chadema wamepanga njama haramu za kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa kuwaandaa vijana wa kufanya vurugu na kuwazuia akinamama na wazee wasiende katika maeneo ya kupigia kura.

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU PROFESA OLE GABRIEL AFUNGUA MKUTANO WA VYAMA VYA WAFUGAJI WA KUKU, NGURUWE

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo nchini Tanzania, Profesa Elisante Ole Gabriel amesema wanatarajia kuanzisha kliniki za kutoa ushauri wa ufugaji katika kila Halmashauri ili kuongeza thamani ya ngozi inayozalishwa.

Profesa Gabriel ameyasema hayo  leo Jumamosi Machi 7, 2020  wakati wa kufungua mkutano wa wadau mbalimbali wa sekta Mifugo  jijini Dar es Salaam.

Wadau wa Mkutano huo ni  vyama vya Wafugaji Kuku  Nguruwe  pamoja na wadau wa ngozi uliolenga kupokea changamoto za  katika Biashara  Biashara...

 

9 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015

11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o

Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.

11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o

Vifaa mbalimbali...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015

Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema leo alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam. Vifaa ...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI SOKO LA WAMACHINGA LA REHEMA NCHIMBI COMPLEX MJINI DODOMA AGOSTI 12, 2015

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (wa pili kushoto) akitembelea soko la wamachinga la Rehema Nchimbi Complex Mjini Dodoma wakati wa ziara yake ya ukaguzi sokoni hapo mapema leo, Wengine ni viongozi wa soko hilo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akikagua eneo la vyoo vya soko la wamachinga la Rehema Nchimbi Complex Mjini Dodoma wakati alipotembelea soko hilo mapema leo.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa (katikati) akibadilishana mawazo juu ya changamoto za biashara na...

 

10 years ago

Michuzi

PRESS CLUB ZNZ YAFANYA UCHAGUZI NA KUSISITIZWA MAADILI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Katibu Mkuu msaafu wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) Suzan Peter Kundambi katikati akitoa taarifa ya mwaka kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo katika mkutano wa Mwaka wa ZPC ulioambatana na uchaguzi. Mkutano huo uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja. Wajumbe walioshiriki uchaguzi wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) wakipiga kura kuchagua uongozi mpya katika mkutano wa Mwaka wa Jumuiya hiyo ambao uliambatana na uchaguzi huo ambao uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani