KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHMAN KINANA ATEMBELEA SINGIDA MASHARIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-14O7TZQdCwQ/U3zaAMOCTiI/AAAAAAAChwE/t5_TWiZueWY/s1600/13.jpg)
Ujenzi wa Shule ya Msingi Unyaghumpi ukiendelea katika Jimbo la Singida Mashariki la Mbunge Tundu Lissu,ambaye anadaiwa kuwakataza  wananchi kuchangia fedha za kujengea vyumba vya madarasa katika shule hiyo. Mmoja wa Viongozi wa CCM,Wilaya akimpatia tofari Kinana walipokuwa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/120.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHMAN KINANA AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA MBUTU IGUNGA
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/--SBg1i8_S2A/VQbtubDB40I/AAAAAAAAB_s/00upnJYCBmE/s72-c/mbili.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM Arusha - Komrade Abdulrahman Kinana
![](http://4.bp.blogspot.com/--SBg1i8_S2A/VQbtubDB40I/AAAAAAAAB_s/00upnJYCBmE/s1600/mbili.jpg)
Kaika Ole Telele (kulia) na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5SOMRzf5D-I/VQbtv2t3abI/AAAAAAAAB_0/AntViu3F_Qc/s1600/nane.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zkTDHcMFBgo/VQbtwyiunuI/AAAAAAAAB_8/wz4rvrAtRPo/s1600/saba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bbvgaCPI8o/VQbtyBJeWvI/AAAAAAAACAE/Z8Jwz3FfG-g/s1600/sita.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouuowwFNUB4tO7P-qzX23O72xgoEpUqXO4IvYfKqEbJU6SZmkuuwin9jKA3vQ169KwW3kEivEz2Q8Nml8-KH5sHMV/1.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA KATIBU MKUU WA CCM AENDELEA NA ZIARA RUFIJI
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amaliza ziara yake jimbo la Mtama
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Bernard Membe Mbunge wa jimbo la Mtama na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya taifa wakati alipowasili katika Kiwalala Kituo cha Ufugaji cha Masister cha Narunyu ambapo ameshiriki kazi ya kukamua maziwa akiwa katika ziara yake ya kikazi ya mikoa ya Lindi na Mtwara akikagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali lakini pia kuhimiza uhai wa Chama cha Mapinduzi CCM, Katibu mkuu Kinana katika ziara...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana ashuka milima ya Usambara kwa Baiskeli
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi, Siasa na Uenezi mara baada ya kuwasili katika kata ya Mng’aro Lushoto mara baada ya kushuka milima ya Usambara huku akiendesha Baiskeli pamoja na Nape Nnauye na wananchi wengine wakati msafara wake ukielekea jimboni Mkinga wilaya ya Mkinga, Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana yuko katika ziara ya mkoa wa Tanga akikagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010,...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/120.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOA WA MAGHARIBI