Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Ezekiel Kamwaga
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limesema mkutano mkuu wa wanachama wa Yanga hauna mamlaka ya kuuongezea muda uongozi wao kwa kuwa katiba yao inasema uongozi utakaa madarakani kwa muda wa miaka minne.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Dec
KATIBU MKUU WA YANGA KUSAKWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA KUJIESCROW NA MA PESA YA TIMU HIYO
![](http://api.ning.com/files/gYxGligqRT0cWhq2IcLvrRsImqd3TmSvUGy4cMEPKcXPUGMjWyaCBtPgMY6dEQDscIvxVJau2sr6fueghoBW2AQG-GbCScqK/Njovu3..jpg?width=650)
Na Lucy MginaJESHI la Polisi jijini Dar es Salaam limekuwa likiendelea kumsaka aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu.Habari za kipolisi kutoka ndani ya Jeshi hilo zimeeleza kwamba juhudi za kumtia nguvuni Njovu anayetuhumiwa na ubadhilifu zimekuwa zikiendelea kwa juhudi kubwa.“Unajua askari wetu walikwenda kumshika Njovu wakiongozana na mwanasheria wa Yanga, lakini akashitukia mtego na kutimua mbio. Sasa juhudi zinafanyika ili kumshika kwa kuwa tuna RB...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s72-c/Untitled-1.jpg)
Katibu mkuu mpya wa Yanga atangaza mikakati yake ya kuhakikisha Klabu inajiendesha kiuchumi
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZjVkdhfGfyE/VJmFTfvbZ5I/AAAAAAAG5Y8/M1vrZpddWBI/s1600/Untitled-1.jpg)
Akizungumza Makao Makuu ya Klabu hiyo leo, Tiboraha alisema kuwa Yanga ni klabu kubwa hiyo ni wakati wa kujiendesha yenyewe badala ya kutegemea mtu binafsi na kwamba haiwezi kuwa na mikataba ambayo haikithi maslahi ya klabu hiyo.
"Yanga ni bidhaa inayojiunza yenyewe uwezi kuingia mkataba wake sawa na Stand United, haiwezekani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-00.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s640/Pix-00.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/Pix-02.jpg)
9 years ago
VijimamboJK AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU NA KATIBU TAWALA
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola aachana rasmi na klabu hiyo!
Kocha Seleman Matola
Na Rabi Hume
Kocha msaidizi wa klabu ya Simba SC, Selemani Matola ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na Simba kufuatia kutokuwepo kwa maelewano mazuri na kocha mkuu, Dyran Kerr.
Matola amesema kuwa kwa kipindi kirefu amekuwa hana maelewano mazuri na kocha huyo kwa kila jambo ambalo anamshauli kocha mkuu Kerr kuwa akikataa na hata muda mwingine kumtolea maneno ya dharau.
Aidha Matola amesema kuonyesha kuwa kocha huyo hakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s72-c/IMG-20150527-WA0013.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s640/IMG-20150527-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceZl_-FiM1w/VWXW2zZlSOI/AAAAAAAAeA8/G1BiVYu6OLc/s640/IMG-20150527-WA0020.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete akutana na Waziri Mkuu wa Australia na Gavana Mkuu wa nchi hiyo
![IMGL0560](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0560.jpg)
![IMGL0623 (2)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0623-2.jpg)
![IMGL0758](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0758.jpg)
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Coronavirus: Klabu za ligi ya Premia zimeamua kwamba zitaendelea na ligi hiyo lakini hazikutoa tarehe rasmi
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...