KATIBU MKUU WA WIZARA YA UJENZI ARIDHISHWA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV KIGAMBONI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Musa Iyombe ameelezea kuridhishwa kwake na kazi ya ukarabati wa Kivuko cha MV Kigamboni unaoendelea chini ya kikosi cha Ufundi cha Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kitengo cha Wanamaji uliofikia asilimia 40 ya matengenezo yake.
Akizungumza mara baada ya Ukaguzi huo wa kushtukiza, Mhandisi Iyombe amekipongeza Kikosi hicho cha Wanamaji kwa kufanya kazi kwa kiwango cha juu na haraka hivyo kuwa na matumaini ya kukamilika kwa kazi hiyo kwa muda mfupi ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XBL5HQ5ADWc/Xr-BnXsuskI/AAAAAAALqbU/UzmigMSwel4Gx02dm-b_doY0kPDk4wBWwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_3316-768x512.jpg)
KATIBU MKUU KILIMO ARIDHISHWA NA UJENZI WA SKIMU UMWAGILIAJI YA MVUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-XBL5HQ5ADWc/Xr-BnXsuskI/AAAAAAALqbU/UzmigMSwel4Gx02dm-b_doY0kPDk4wBWwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3316-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_3253-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akitoa maelekezo kuhusu ghala la kijiji cha Kigugu wilaya ya Mvomelo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye mradi huo.Katikati ni Eng.Amandus...
11 years ago
GPLMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU, DARAJA LA KIGAMBONI
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU CHAMURIHO ARIDHISHWA NA UJENZI WA CHELEZO NA MELI MPYA MWANZA
![](https://1.bp.blogspot.com/-dvsfAwmhW8w/XoHfR_OCFwI/AAAAAAALlhE/BZP6kLl7gtk868HaGSjCDdIMszIj4KuxwCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2BNO%2B2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni jana jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...
11 years ago
Michuzi27 Mar
11 years ago
GPL27 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-llY5wG0_wro/U2wZ1fdnt6I/AAAAAAAFgYw/UDNMulECdqo/s72-c/unnamed+(9).jpg)
DC Hai atembelea kivuko cha mnepo cha Kiyungi, aahidi kukifanyia ukarabati
![](http://4.bp.blogspot.com/-llY5wG0_wro/U2wZ1fdnt6I/AAAAAAAFgYw/UDNMulECdqo/s1600/unnamed+(9).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10