Kerry kuokoa hali mambo Afghanstan
John Kerry, amefika Nchini Afghanistan ili kujaribu kutanzua hali ya taharuki inayokumba matokeo ya uchaguzi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
Tamko la Waziri wa Mambo ya Nje John Kerry kuhusu Uchaguzi wa Tanzania

Kwa niaba ya Rais Obama na watu wa Marekani, nawapongeza watu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uchaguzi wa rais na wabunge ulioendelea kuthibitisha rekodi nzuri ya Tanzania katika kujenga demokrasia imara.Wakati Rais John Pombe Joseph Magufuli na serikali yake wakichukua majukumu yao, tunatarajia kuendelea na ubia wetu wa karibu na kuimarisha zaidi ushirikiano baina ya nchi zetu mbili tunapofanya...
10 years ago
Vijimambo
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI

10 years ago
Michuzi.jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA (TMA) NA OFISI YA HALI YA HEWA YA UINGEREZA (UK MET OFFICE) WASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO (MoU) YA USHIRIKIANO KATIKA KUBORESHA HUDUMA ZA HALI YA HEWA NCHINI
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Ofisi ya Hali ya Hewa ya Uingereza (UK Met Office) wamesaini mkataba wa makubaliano ya uboreshaji huduma za hali ya hewa hapa nchini. Mkataba huo umesainiwa tarehe 11 Novemba, 2014 wakati wa kikao cha masuala ya hali ya hewa (IBCS) kilichofanyika mjini Geneva Uswiss.
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
Akizungumzia makubaliano hayo Dkt Agnes Kijazi alisema Mamlaka ya Hali ya Hewa ililiomba Shirika la Hali ya Hewa Duniani kuisaidia TMA kuboresha huduma zake ili ziwe za kisasa...
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
John Kerry azuru Misri
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry yupo mjini Cairo nchini Misri ili kukutana na raiswa taifa hilo.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Israel yamuomba radhi Kerry
Waziri wa ulinzi wa Israeli Moshe Yaalon ameomba radhi kusema John Kerry anajiona kama mwokozi wa amani kuhusu mzozo wa Mashariki ya kati.
11 years ago
BBC
Kerry: US investment helping Africa
US investment in Africa is fighting extremism, bringing stability and improving Africans' lives, US Secretary of State John Kerry tells the BBC.
10 years ago
TheCitizen07 May
Kerry’s trip and other African matters
There have been a handful of crises, and collective Africa, through the African Union, and even regional organisations, has said nothing.
10 years ago
BBC
John Kerry in brief visit to Mogadishu
John Kerry becomes the first US secretary of state to visit the Somali capital Mogadishu, which is recovering from years of conflict
11 years ago
BBC
John Kerry will testify on Benghazi
US Secretary of State John Kerry will testify in front of a House panel about the deadly Benghazi attacks according to a letter obtained by the BBC.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania