Kesi ya talaka ya mmiliki wa St. Mathew yaahirishwa tena
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala, Dar es Salaam, imepanga Septemba Mosi mwaka huu kutoa hukumu katika kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali zenye thamani ya Sh Milioni 800 inayomkabili Mmiliki wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks, Thadei Mtembei.
Hukumu hiyo ilipangwa kusomwa juzi lakini iliahirishwa kutokana na upande wa mlalamikaji kutofika mahakamani.
Akiahirisha kesi hiyo, Hakimu Rajab Tamambele alisema kuwa kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya hukumu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Mmliki wa St. Mathew achomolewa kesi ya talaka na mgawanyo wa mali
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Mbagala, Dar es Salaam imesema haiwezi kumuamuru Mmiliki wa nne za Shule za Sekondari, St Mathew na St Marks ,Thadei Mtembei kutoa talaka kwa Magreth Mwangu kutokana na ndoa yao kuwa batili.
Akisoma hukumu hiyo leo, Hakimu Rajab Tamambele alisema ndoa aliyofunga Mwangu pamoja na Mtembei ambayo ni ya kimila ni batili kwa kuwa mdai hakutoa cheti cha ndoa hiyo ilipofungwa.
Alisema kwa misingi hiyo, mahakama haiwezi kumuamuru Mtembei kutoa talaka kwani...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Hukumu ya Kesi ya talaka na mgawanyo wa mali ya mwenye shule za St Mathew kesho
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam, kesho, Oktoba 25 inatarajia kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Rajab Tamaambele.
Miongoni...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Kesi rufaa ya talaka dhidi ya Mtembei yaahirishwa
Na Mwandishi wetu
KESI ya rufaa ya madai ya talaka dhidi ya mfanyabiashara na Mkurugenzi wa shule ya sekondari ya St Mathew, Thadei Mtembei imeahirishwa baada ya wakili wa Mtembei, Mussa Kyoboya kudai mrufaniwa yuko India kwa matibabu.
Kesi hiyo inasikilizwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Temeke, Tarimo.
Katika kesi hiyo, mpeleka rufaa, Magreth Mwangu anawakilishwa na wakili Chacha Mrungu. Kesi hiyo ilikuja mahakamani juzi ambapo mrufaniwa alitakiwa kupeleka majibu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HeDtoxwJYEs/XmnXJajJ_mI/AAAAAAALitw/7pbKQ6-LlZkcGX2uRZZJbfqoqSW7IgSRQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-03-09-at-17.33.52-292x375.jpeg)
KESI INAYOMKABILI KIGOGO WA CCM YAAHIRISHWA TENA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HeDtoxwJYEs/XmnXJajJ_mI/AAAAAAALitw/7pbKQ6-LlZkcGX2uRZZJbfqoqSW7IgSRQCLcBGAsYHQ/s320/WhatsApp-Image-2020-03-09-at-17.33.52-292x375.jpeg)
Masunga anashtakiwa kwa Kosa la kuchukua fedha za Abdallah Majura Bulembo, kwa njia ya udanganyifu,...
11 years ago
GPLLULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
GPLSHEIKH PONDA APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
9 years ago
Vijimambo26 Aug
HUKUMU YA MMLIKI WA ST MATHEW YAAHIRISHWA HADI ALHAMIS.
![court_gavel](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/court_gavel2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Hukumu ya Mmliki wa St Mathew yaahirishwa hadi Ijumaa
Na Mwandishi wetu
MAHAKAMA ya Mwanzo Kizuiani Mbagala Jijini Dar es Salaam, imeshindwa kutoa hukumu kwenye kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali iliyofunguliwa na mkazi wa Singida, Magreth Mwangu dhidi ya Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya St. Mathew na St. Marks,Thadei Mtembei.
Katika madai yake ya Msingi, Mwangu anaomba mahakama imuamuru mdaiwa kutoa Sh. Milioni 800 na makazi ya kukaa mdai na watoto wake.
Hakimu wa mahakama hiyo Rajab Tamaambele akiahirisha alisema kwamba mzee...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Mmliki wa St. Mathew, St. Mark adaiwa talaka na mgawanyo wa mali
Na Mwandishi Wetu
MDAI katika kesi ya madai ya talaka na mgawanyo wa mali Magreth Mwangu mkazi wa Mkoani Singida dhidi ya Mkurugenzi wa Shule za sekondari za St.Mathew na St Marks Thadei Mtembei amelalamikia kitendo cha Benki ya CRDB kutoa taarifa zake za benki bila idhini yake wala ya mahakama.
Pia ameilalamikia mahakama ya Mwanzo Kizuiani inayosikiliza kesi hiyo kwa kutumia Wakili wa kujitegemea licha ya kuwa mawakili hawaruhusiwi katika mahakama ya Mwanzo.
Kesi hiyo inasikilizwa na...