Kesi za albino kupewa umuhimu-Jaji Chande
NA FURAHA OMARY
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande, amesema mahakama itazipa kipaumbele kesi za mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism) na mauaji ya vikongwe si tu kwa kiwango cha Mahakama Kuu, bali hadi Mahakama ya Rufani.
Amesema mauaji ya watu hao yanagusa kila Mtanzania na ni uhalifu wa hali ya juu na pia kuvunja haki za watu wengine.
Jaji Mkuu Chande aliyasema hayo jana mjini Dar es Salaam, muda mfupi baada ya Jaji Kiongozi Shaaban Lila, kuwaapisha manaibu wasajili 43.
“Mauaji...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Jaji Mkuu Chande awaonya mawakili kuchelewesha kesi
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Jaji Mkuu aitaka dola ijipange kesi za mauaji ya albino
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Swali sakata la escrow ‘lamvunja mbavu’ Jaji Mkuu Chande
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadili ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mawakili zingatieni maadil ya taaluma ya Sheria-Jaji Mkuu Mh. Othman Chande!!
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akizungumza na Mawakili 104 walioapishwa jana Desemba 15, jijini Dar es salaam. Mhe. Chande amewataka Mawakili hao kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande amewataka Mawakili kote nchini kufanya kazi zao kwa kuzingatia weledi na maadili ya taaluma ya Sheria na kwamba wasisite kuwaeleza ukweli wateja wao wanaopeleka mashauri Mahakamani ili kuepuka kupoteza muda...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
BAN KI MOON AMTEUA JAJI MKUU OTHMAN CHANDE MOHAMMED KUONGOZA JOPO HURU
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/1632564/lowRes/431531/-/5gbhil/-/jaji_chande.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rVQuuRWjF-g/VlWzihH-5ZI/AAAAAAAIIXc/P5ggGhe7O_0/s72-c/Mahakama%2B-1.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. OTHMAN CHANDE ATOA SOMO KWA WAANDISHI WA HABARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-rVQuuRWjF-g/VlWzihH-5ZI/AAAAAAAIIXc/P5ggGhe7O_0/s640/Mahakama%2B-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AqBjSIgkF_k/VlWzkIQWpOI/AAAAAAAIIXs/TyMjb7jq53o/s640/Mahakama%2B-3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YQBRmEwwFkk/VlWzif76JkI/AAAAAAAIIXU/PoYDjvl1QTE/s640/Mahakama%2B-%2B5.jpg)
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande atoa somo kwa Waandishi wa Habari za Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande akitoa ufafanuzi kwa wanabari (hawapo pichani) kuhusu uandishi bora wa habari za Mahakama wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa Habari za Mahakama jana jijini Dar es salaam.
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Othman Chande (kushoto) na Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Allan Lawa (kulia) wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari za Mahakama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zNohjXAYiOU/VQe9Rzw2k3I/AAAAAAAHK18/3ZlpilYjziU/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
JAJI MKUU OTHMAN CHANDE KUOGOZA JOPO HURU KUHUSU KIFO CHA DAG HAMMARSKJOLD
![](http://1.bp.blogspot.com/-zNohjXAYiOU/VQe9Rzw2k3I/AAAAAAAHK18/3ZlpilYjziU/s1600/unnamed%2B(23).jpg)