Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIFO CHA MCD, SIMULIZI INAUMA

Na Musa Mateja na Deogratius Mongela
KIFO cha aliyekuwa mpiga ngoma (tumba) maarufu wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Soud Mohamed ‘MCD’ kimeacha simulizi inayouma, Amani linalia sanjari na ndugu. Marehemu MCD akiwa kazini enzi za uhai wake. MCD ambaye Agosti 4, 2013 alimpoteza baba yake mzazi, alifariki dunia usiku wa kuamkia Januari 28, mwaka huu katika Hospitali ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii walivyoguswa na kifo cha ‘MCD’

TASNIA ya muziki wa dansi Jumanne ya wiki hii imepata pigo baada ya kumpoteza mpiga tumba maarufu, Soud Mohamed ‘MCD’, aliyezikwa juzi nyumbani kwao Majengo, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro....

 

11 years ago

GPL

SIMULIZI YA RECHO INAUMA

Stori: Waandishi Wetu
HUKU makovu ya machungu ya kifo cha msanii wa filamu za Kibongo, Rachel (Sheila) Leo Haule ‘Recho’ yakiwa bado hayajakauka, Risasi Jumamosi linakupa simulizi yenye maumivu kuhusu marehemu huyo. Mchumba wa marehemu Saguda akilia kwa uchungu. Recho alifariki dunia Mei 27, mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

10 years ago

Mwananchi

Simulizi za kusisimua shule zilizotamba matokeo kidato cha nne

>Ni mafanikio juu ya mafanikio. Ndivyo unavyoweza kuelezea matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya sekondari kwa baadhi ya shule zilizofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne juzi.

 

11 years ago

GPL

INAUMA!

Stori:Gladness Mallya na Hamida Hassan
Inauma sana! Zikiwa zimekatika takriban siku 18 tangu alipofariki dunia aliyekuwa staa wa sinema za Kibongo, Sheila Leo Haule ‘Recho’ (26) na mwanaye, imefahamika kuwa mzimu wake bado unamtesa mumewe, Saguda George. Nyumba aliyopangisha Saguda na marehemu Recho Haule ambayo walilipia kodi ya shilingi milioni tatu iliyoko maeneo ya Kinondoni, Dar. Habari zilieleza kwamba...

 

10 years ago

GPL

FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY

Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' enzi za uhai wake. Familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Secky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake. Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali. Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa...

 

10 years ago

GPL

CHUO CHA IMAMU JAFAR SWADIQ CHAADHIMISHA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)

Sheikh Hemed Jalala akiwahutubia waumini (Hawapo pichani). Baadhi ya viongozi wakiwa meza kuu.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Sina cha Kusema Wala Tamko Kuhusu Kifo cha Seki

Kufuatia kuhusishwa na kuwa na mahusiano ya kimapenzi na marehemu Bilionea Lusekelo Samson Mwandenga ‘Seki’ aliyefariki dunia Alhamisi iliyopita, Staa wa Bongo Movies Elizaberth Michael ‘Lulu’ amesema hana la kusema na hana tamko lolote fufuatia kifo cha Seki.

Akiongea na gazeti la Ijumaa Wikienda Juzi, lililotaka kujua taarifa za yeye kuhusishwa na bilionea huyo pamoja na mambo mengine, Lulu alijibu kwa kifupi;

Mwandishi: “Lulu kwanza tumesikia unaumwa na umelazwa, ni kweli?”

Lulu: “Siyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani